HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,552
- 48,148
JamaniRIP Dena
Mkongwe wetu wa JF toka tunaiita Jambo chat
JamaniRIP Dena
Mkongwe wetu wa JF toka tunaiita Jambo chat
AMENNdugu yetu na mwanajamvi mwenzetu tunasikitika sana kwa kutoweka kwa uwepo wako hapa JF milele lakini tunafarijika sana kwa kuwa tunaamini kwamba Mwenyezi Mungu ameipumzisha roho yako mahali pema peponi.
AAMIN
NaamAma kwa hakika sisi ni wa mwenyezi Mungu na kwake tutarejea...
Kweli kabisaMungu ni mwema kwetu sote
Wala hujakosea.Pumzika kwa amani...njia yetu ni moja
AMENPumzika kwa amani Dena
AMENAlways Mungu anatenda haki tumuombe kwa wema wake ampumzishe kwa amani mahali pema
AAMINApumzike mahala pema peponi Dena Amsi.
"Kila nafsi itaonja mauti". Poleni sana wote mlioguswa na msiba huu!
AAMINKila nafsi itaonja umauti.
Umetangulia na sie tunafuata.
Mwenye Mungu ni mkarimu mwenye kusamehe.Tunakuombea kwake akupokee na akuweke sehem yenye amani.
Amin
AMENApumzike kwa amani mpendwa wetu
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake limihidiwe
Pumzika kwa Amani Dena
AMENPoleni wafiwa na Mola ampe pumziko la milele mahali pema peponi
HaswaaSiku zote mungu hutenda haki.
Kifo cha mmojawetu kinapotokea kinatukumbusha kuwa nasi tujiandae na safari hiyo tusiyoweza kuikwepa wala kuipangia muda.
AAMINMUNGU awatie nguvu walioachwa na mwenzetu.
AAMINMWENYEZI MUNGU AKUPUMZISHE MAHALI PEMA PEPONI.amina.
Ni kweliR. I. P, duniani tunapita.
KweliR.I.P mwana JF Mwenzetu,Tumshukuru Mungu kwa kila Jambo