Philip Dominick
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 1,021
- 189
msanii wamuziki wa
kizazi kipya hamis mwinjuma aka mwana fa amesema kuwa mapato ya show
yake ya ter14 june 15% itaenda kwa familia ya marehemu ngwear
Je,huko sio kutumia jina la ngwear ili kupata sympath toka kwa mashabiki
ambao weng wao wameonyesha kutokuwaunga mkono?
kwani ngwear ndo msanii peke ake aliefariki?na kwani awe ngwear wakati
kuna sharo kuna bi kidude na wengne weng ambao hatunao tena?
thıs is Pathetic,Real pathetic,rip clouds fm.
Anatapatapa huyo -----
walishauma sana sasa wanapuliza wkt kidonda kishaoza cloudsfm wez now wanajikosha kwa kutumia msiba wa ngwea
Fatu bana!!!
Fatu bana!!!
msanii wamuziki wa kizazi kipya hamis mwinjuma aka mwana fa amesema kuwa mapato ya show yake ya ter14 june 15% itaenda kwa familia ya marehemu ngwear
Je,huko sio kutumia jina la ngwear ili kupata sympath toka kwa mashabiki ambao weng wao wameonyesha kutokuwaunga mkono?
kwani ngwear ndo msanii peke ake aliefariki?na kwani awe ngwear wakati kuna sharo kuna bi kidude na wengne weng ambao hatunao tena?
thıs is Pathetic,Real pathetic,rip clouds fm.
Hebu tuache zungumzia mashoga tujikite kwenye mambo ya msingi
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Fatuma Hamisi