Philip Dominick
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 1,022
- 189
msanii wamuziki wa kizazi kipya hamis mwinjuma aka mwana fa amesema kuwa mapato ya show yake ya ter14 june 15% itaenda kwa familia ya marehemu ngwear
Je,huko sio kutumia jina la ngwear ili kupata sympath toka kwa mashabiki ambao weng wao wameonyesha kutokuwaunga mkono?
kwani ngwear ndo msanii peke ake aliefariki?na kwani awe ngwear wakati kuna sharo kuna bi kidude na wengne weng ambao hatunao tena?
thıs is Pathetic,Real pathetic,rip clouds fm.
Je,huko sio kutumia jina la ngwear ili kupata sympath toka kwa mashabiki ambao weng wao wameonyesha kutokuwaunga mkono?
kwani ngwear ndo msanii peke ake aliefariki?na kwani awe ngwear wakati kuna sharo kuna bi kidude na wengne weng ambao hatunao tena?
thıs is Pathetic,Real pathetic,rip clouds fm.