Nawasalimu kwa Jina lipitayo majina yote la Bwana Wetu Yesu Kristo wa Nazareth!
Thread hii ni maalumu kabisa kwà ajili ya kuwapasha watu habari kwà kinachokua kinaendelea kwenye Huduma ya Mtume Boniface Mwamposa via Redio, Social networks or Via Arise and Shine TV
Mwambie afungue maduka ya kuuza mafuta mikoani kuna wajinga wengi huku atapiga pesa, iwe biashara rasmi na alipe kodi sio anauza mafuta kwa mgongo wa dini.
Watu wanahitaji sana majibu ya maswali yao lakini biblia imesema fedha ni jawabu la mambo yote wanasahau hata mwamposa naye anapiga kazi ili apate fedha imjibie maswali yake. Subirini tiketi muende nazo sjui zitawasaidia nn badala mpige kazi kibunda kije
Nawasalimu kwa Jina lipitayo majina yote la Bwana Wetu Yesu Kristo wa Nazareth!
Thread hii ni maalumu kabisa kwà ajili ya kuwapasha watu habari kwà kinachokua kinaendelea kwenye Huduma ya Mtume Boniface Mwamposa via Redio, Social networks or Via Arise and Shine TV