Lord Denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 23,494
- 57,869
Mwambieni achukue Majenerali wake wengi wote wapumbavu na machawa apige nao picha. Siku ya mwisho hayatamsaidia. Damu za ndugu zetu alizomwaga lazima zipate haki yake.
Mwambieni hata ahonge Taasisi zote ziwe za nje ama za ndani zimpe tuzo hata ya Malaika wa mbinguni ila mwaka huu vyovyote vile damu alizomwaga za Watanganyika lazima zipate haki yake na atashughulikiwa tu.
Mwisho mwambieni hata ajaribu kwa kiasi gani kujitengenezea PR stunt na kujaribu kuwachonganishwa Wakristo na Wakatoliki mwaka huu 2026 hata akatambike wapi lazima ashughulikiwe tu kama sio na ICC basi na wakubwa wa dunia ikiwemo Marekani.
Mwambieni hata ahonge Taasisi zote ziwe za nje ama za ndani zimpe tuzo hata ya Malaika wa mbinguni ila mwaka huu vyovyote vile damu alizomwaga za Watanganyika lazima zipate haki yake na atashughulikiwa tu.
Mwisho mwambieni hata ajaribu kwa kiasi gani kujitengenezea PR stunt na kujaribu kuwachonganishwa Wakristo na Wakatoliki mwaka huu 2026 hata akatambike wapi lazima ashughulikiwe tu kama sio na ICC basi na wakubwa wa dunia ikiwemo Marekani.