Mwamba huyu hapa

Unahalalisha unafki wenu.
 
Unahalalisha unafki wenu.
Poleni kwa maumivu ya kumpoteza nahodha wenu kwa wababe wenu Yanga. Upande wa kulia Izrael Mwenda, upande wa kushoto ni Zimbwe Jr! Mtaelewa tu.
 
Ulikubaliana na nani kama Zimbwe Jr ni mzee! Yanga inafanya usajili kwa ajili ya kukidhi malengo yake ya msimu mzima, na siyo kwa ajili ya kumfurahisha mtu.
 
Ulikubaliana na nani kama Zimbwe Jr ni mzee! Yanga inafanya usajili kwa ajili ya kukidhi malengo yake ya msimu mzima, na siyo kwa ajili ya kumfurahisha mtu.
Msyuuu kuleni makapi hayo...matapishi
 
Simba ndiyo timu bora Tanzania na Afrika. Bila kuitaja Simba huwezi kuifanya timu yako kujulikana Tanzania na Afrika.
Hii habari ilikuwa inahusu Yanga tu ila kwa kuwa Yanga ni timu mbovu lazima waitaje Simba
GSM: Yanga bingwa
Mo: Nawadai simba bilioni 87
View attachment 3433208
Huwa najiuliza Yanga imechukua kombe misimu 4 ila ukija kwenye timu bora za Afrika Simba ipo juu kuliko Yanga.
Unafunga timu magoli 4 mpaka 5 ligi kuu halafu ukija kwenye kombe la mabingwa unaishia makundi na uliyemfunga 5 anaenda mpaka makundi
 
YANGA tunajua kukera na hatuna jambo dogo huu msimu mpya muwe tayali Mashabiki kununua jezi 🀣🀣

JEZI IMEANDIKWA NAWADAI SIMBA Bilioni 87.

Mtanunua au?
Yanga ni timu mbovu kama huamini Google timu bora Afrika ndiyo utajua.
Ili timu yako mbovu ijulikane lazima utaje timu bora hata kama habari zinahusu timu yako lazima utaje jina la timu bora ili habari ya timu yako iweze kusomwa na kusikika.
Hii habari ilikuwa inahusu timu mbovu ili habari iweze kutrend lazima utaje timu boraπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Sawa timu Bora. Deni Bilioni 87 na msim wa 4 kombe O nikuulize YANGA AJAWAI KUWA JUU YA SIMBA CAF ???
 
Poleni kwa maumivu ya kumpoteza nahodha wenu kwa wababe wenu Yanga. Upande wa kulia Izrael Mwenda, upande wa kushoto ni Zimbwe Jr! Mtaelewa tu.
Mimi ni nani niharibu furaha yako? Nimekuita tu mnafki maana unajua fika ndivyo mlivyo pale mnapoiongelea Simba na wachezaji wake ila sikuzuii kufurahi. Furahi mwanangu.

Ila inabidi ujue na mimi nimefurahi sana Zimbwe kuondoka Simba.
 
Mkuu kwani hauna habari kwamba Israel Mwenda amesign rasmi Yanga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…