Mwamasika:Kanisa liligomboa Watumwa Bagamoyo kwa fedha zake.

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
30,441
55,022
..I never knew about this.

..hivi kuna wana-Historia wanaoweza kutuhabarisha zaidi kuhusu matukio kama haya ktk maeneo mengine ya Tanganyika.

 
Joka kuu, mbona hii ni common knowledge nadhani tulikuwa tunafundishwa katika historia kama si darasa la sita na la saba basi ni mwanzoni mwa sekondari kwa sie tuliosoma zamani. Nikifikiri sana naweza hata kukumbuka baadhi ya majina ya wamisionari waliohusika. Lakini cha muhimu hapa ni kuangalia context aliyoukuwa akiizungumzia askofu, tuna hiyo sehemu tu lakini hatujui nia ya hayo mazungumzo ilikuwa ni nini, kama nia ni kuleta makanisa na misikiti kuchangia katika kuweka mikakati serikalini, binafsi nasita kidogo maana kuna watu wegine ambao hawamo katika misikiti wala makanisa hivyo haitakuwa vyema kuchanganya dini na serikali.

Nimekumbuka mmoja wao ni William Wilberforce, alikuwa ni evangelist tajiri hivi.
 
Last edited:
Sisi enzi zetu tulifundishwa kuwa wamissionari waliamua kukomesha biashara ya utumwa kwa sababu biashara hiyo ilikuwa imepitwa na wakati baada ya mapinduzi ya viwanda (industrial revolution). Utaratibu ukawa badala wa watu weusi kufanya kazi huko ulaya waafrika walime mazao afrika na ulaya ziende bidhaa. Ndio maana baada ya biashara hiyo kukoma tukapata akina carl peters waliowadanganya akina chief mangungu na mikataba yao feki ( ambayo injirudia sasa hivi) na baadaye kuanzaishwa dutch ost africa company( not sure about the spelling) na eventually kuja kwa serikali (colonisation)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…