lucley
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 728
- 1,999
Heri ya sikukuu ya mwakampya na xmass wana jukwaa.
Kwa niaba yake nafikisha ombi lake la ajira humu jukwaani. Ni mhitimu wa chuo kikuu sokoine anatafuta kazi ya ualimu wa masomo ya nutrition kwa o level ,A level na hata diploma.
Hajasomea ualimu ila ana uzoefu wa kutosha na pia amepitia mafunzo ya ualimu katika semina na warsha mbali mbali. Kwa mwenye uhitaji nae anakaribishwa PM kwa mawasiliano zaidi.
Kwa niaba yake nafikisha ombi lake la ajira humu jukwaani. Ni mhitimu wa chuo kikuu sokoine anatafuta kazi ya ualimu wa masomo ya nutrition kwa o level ,A level na hata diploma.
Hajasomea ualimu ila ana uzoefu wa kutosha na pia amepitia mafunzo ya ualimu katika semina na warsha mbali mbali. Kwa mwenye uhitaji nae anakaribishwa PM kwa mawasiliano zaidi.