Mwalimu wa nursery anatafutwa!

Mwalimu wa nursery anatafutwa!

Lilian Wasira

Member
Joined
Nov 13, 2012
Posts
86
Reaction score
93
Tunahitaji mwl wa nursery mwenye sifa zifuatazo;
1.awe fluent in English
2. awe raia wa nchi yoyote mwenye work permit
3.awe amesomea watoto wadogo
4.awe anaweza kujituma bila kusimamiwa
5.awe mbunifu.
6.Mwanamke atapewa kipaumbele zaidi.
Piga simu namba 0719604156..
 
Tunahitaji mwl wa nursery mwenye sifa zifuatazo;
1.awe fluent in English
2. awe raia wa nchi yoyote mwenye work permit
3.awe amesomea watoto wadogo
4.awe anaweza kujituma bila kusimamiwa
5.awe mbunifu.
6.Mwanamke atapewa kipaumbele zaidi.
Piga simu namba 0719604156..

Mshahara kiasi gani?
 
weka salary kama kuanzia 2M, napiga chini hiki kitengo nilipo nakuja ku make money na kutoa taaluma kwa watoto
 
Aneth mumie wory not utapata tu..But kwa nin ulifungulia ur real name? Change my dia..I knw u very well..Ur from JUCO.
 
Tatizo wewe hadi cheti, kunamwalimu,(MADAM) mwenye uzoefu wa miaka mitano. Anafundisha medium nursery school. Had saivi yupo kazin lakin mkataba wake unaishia mwez huu tar.25. Aanavigezo tajwa hapo juu ispokuwa cheti japo chuo alisoma but mwishon alishndwa kupata cheti. Kwa 2moth kabla ya kumaliza alipata matatzo makubwa yaliyopelekea ashindwe kumalizia chuo. Kama unamhitaji , nipm,
 
Tunahitaji mwl wa nursery mwenye sifa zifuatazo;
1.awe fluent in English
2. awe raia wa nchi yoyote mwenye work permit
3.awe amesomea watoto wadogo
4.awe anaweza kujituma bila kusimamiwa
5.awe mbunifu.
6.Mwanamke atapewa kipaumbele zaidi.
Piga simu namba 0719604156..
me niko tayari nimemaliza chuo mwaka huu nimesoma ngazi ya cheti ya early childhood education nina umri wa miaka 20 ningependa kujua kiasi cha mshahara na shule ilipo, naishi tanga na ni binti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom