Mwalimu Wa Math/Physics/ICT anatafuta kazi

Mwalimu Wa Math/Physics/ICT anatafuta kazi

individual

Member
Joined
May 22, 2018
Posts
10
Reaction score
0
Mwalimu anatafuta Kazi Mahali popote Tanzania. Uzoefu wa Kazi Mwaka Mmoja Kama Mwalimu Kwa O-Level, nafundisha open school fulani kubwa tu hapa Dsm, pia nina ezoefu wa kazi wa miaka 2 Kwenye Sekta ya huduma kwa Mteja.
 
Wewe sio Mwalimu hebu taja Chuo kikuu ulichosomea masomo matatu.

Mimi najua Mwalimu anasomea masomo mawili au moja tu,wewe una masomo matatu.
 
Wewe sio Mwalimu hebu taja Chuo kikuu ulichosomea masomo matatu.

Mimi najua Mwalimu anasomea masomo mawili au moja tu,wewe una masomo matatu.
Ni kweli, ila vizuri ungeniuliza kabla hauja nihukumu.
 
Kabwa ndio nini?
Sasa niulize wakati wewe ndio mwenye shida.
Hakuna Mwalimu wa masomo matatu,hebu taja hicho Chuo ulichosoma au ni hivi vya kata.
Ni kweli, ila vizuri ungeniuliza kabwa hauja nihukumu.
 
Kabwa ndio nini?
Sasa niulize wakati wewe ndio mwenye shida.
Hakuna Mwalimu wa masomo matatu,hebu taj
Unataka kuniajiri,
Kabwa ndio nini?
Sasa niulize wakati wewe ndio mwenye shida.
Hakuna Mwalimu wa masomo matatu,hebu taja hicho Chuo ulichosoma au ni hivi vya kata.
Kabwa ndio nini?
Sasa niulize wakati wewe ndio mwenye shida.
Hakuna Mwalimu wa masomo matatu,hebu taja hicho Chuo ulichosoma au ni hivi vya kata.
Sina Shida Mkuu bali natafuta ajirà mpya nahitaji challenge mpya. Chuo
Kabwa ndio nini?
Sasa niulize wakati wewe ndio mwenye shida.
Hakuna Mwalimu wa masomo matatu,hebu taja hicho Chuo ulichosoma au ni hivi vya kata.
Sina shida Mkuu, natafuta Changamoto mpya. Alafu nikutajie Chuo alafu iweje? Ndiyo utanipa ajira ?
 
Chizi huyu anataka kujificha kwenye kichaka wakati anaonekana,unakuja PM ili iweje,pumbavu kabisa.
_20180605_200124.JPG
 
Mwalimu anatafuta Kazi Mahali popote Tanzania. Uzoefu wa Kazi Mwaka Mmoja Kama Mwalimu Kwa O-Level, nafundisha open school fulani kubwa tu hapa Dsm, pia nina ezoefu wa kazi wa miaka 2 Kwenye Sekta ya huduma kwa Mteja.[/QUOTE
Pia Wakuu, nina uzoefu wa mwaka mmoja wa kufundisha Ict kwenye academy moja hapa dsm, elimu yangu nina degree ya IT undergraduate na Postgraduate diploma ya Ualimu.
 
Mwalimu anatafuta Kazi Mahali popote Tanzania. Uzoefu wa Kazi Mwaka Mmoja Kama Mwalimu Kwa O-Level, nafundisha open school fulani kubwa tu hapa Dsm, pia nina ezoefu wa kazi wa miaka 2 Kwenye Sekta ya huduma kwa Mteja.
Elimu yangu ni Shahada ya IT Undergraduate pia nina Postgraduate diploma ya Ualimu. Pia nina Uzoefu wa Kufundisha Ict Kwa Muda wa Mwaka mmoja kwenye academy moja hapa dsm.
 
Back
Top Bottom