Distinction
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 747
- 399
Kwani wewe ulitaka nimtusi kama yeye alivyonitusi eti? Kumbuka yeye ndo alianza kutudhihaki sisi tuliosomea ualimu kwamba tunazidiwa na wao ambao hawajasomea ualimu. Ndo tukamtahadharisha kwamba hata afanyeje hataajiriwa serikalini kama mwalimu hata kama anafaulisha.
Hapana mkuu. we umetumia busara.. sana katika majibizano ila ila yeye ndo amepanic kutokana na majibu ya wadau wengne