Kaka jiandae Na mazingira mtaani pagumu!
Weka akiba ukija uanze kuuza nyanya au hata mitumba!.
Utakapo pata temple utambulia 200K
Asante kwa ushauri mchawi mkuuKaka jiandae Na mazingira mtaani pagumu!
Weka akiba ukija uanze kuuza nyanya au hata mitumba!.
Utakapo pata temple utambulia 200K
Hata hio 200k wengne tunaitakaKaka jiandae Na mazingira mtaani pagumu!
Weka akiba ukija uanze kuuza nyanya au hata mitumba!.
Utakapo pata temple utambulia 200K
Duh karbu mtaanHabari natafuta nafasi ya kufundisha nahitimu mwez wa saba Bachelor of education in special needs chuo UDOM, somo la kufundishia Literature. Kama unaweza kunisaidia kupata nafasi hiyo ni pm au nipe contacts zako nikucheki.
Upo wapi wewe?!Hata hio 200k wengne tunaitaka
Ahaaa,, dar ee kumbe..m npo kijijinUpo wapi wewe?!
Maisha ya dar
Kwa mshahara wa 200K ni mdogo mnoo
kuingia chuo ni jambo lingine na kupata ajira zama hizi ni jambo lingine,ujiandae kisaikolojia tu,sikuogopeshi ,tafuta plan b c d na kuendelea kabisaHahahaha Unaniogopesha mkuu
KakaAhaaa,, dar ee kumbe..m npo kijijin