Mimi ni mhitimu wa shahada ya ualimu kwa masomo ya kemia na biologia mwaka 2020, nipo Urambo- Tabora, Naomba kwa yoyote mwenye Taarifa au uwezo nahitaji shule ya kufundisha sekondari au msingi shule iwe angalau mikoa jirani ili iwe rahisi kwangu kufika kwa usahili, kwa mikoa ya mbali tunaweza wasiliana na mhusika tukapanga suruhisho... Naombeni kuwasilisha.🙏