KUNGURUHAFUGIKI
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 346
- 74
Mwalimu wa historia alikuwa darasani na kuwauliza wanafunzi
MWALIMU; Eeeeehe!
Ni nani alimuua chifu mkwawa?
MWANAFUNZI; Aku sio mimi!
MWANAFUNZI 2; wallah! Sihusiki!
MWANAFUNZI3; kwanza mimi sikuja shule!
Mwalimu akabaki kushangaa!
MWALIMU; Eeeeehe!
Ni nani alimuua chifu mkwawa?
MWANAFUNZI; Aku sio mimi!
MWANAFUNZI 2; wallah! Sihusiki!
MWANAFUNZI3; kwanza mimi sikuja shule!
Mwalimu akabaki kushangaa!