kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
SHULE ya Msingi Bunge ya jijini Dar es salam, imeingia kwenye kashfa baada ya mwalimu mmoja shuleni hapo kuwaadhibu wanafunzi kwa waya wa transfoma.
Taarifa kutoka shuleni hapo ilisema kuwa mwalimu anayefahamika kwa jina la Preygod Isaya [26] ameiingiza shule hiyo kwenye kashfa hiyo.
Mwalimu Isaya mwalimu wa hisabati darasa la sita amewapa wanafunzi wake adhabu ya kuwachapa na waya wa umeme baada ya kuona wanafunzi hao hawasikii.
Hata hivyo mwalimu huyo alifafanua kuwa aliamua kuwachapa na waya huo kwa kuona fimbo haiwatoshelezi kuwapigia wanafunzi hao kutokana na kosa lao.
Pia shule hiyo imekuwa na tuhuma ya kuwapa adhabu ya kuwarudisha wanafunzi nyumbani kutokana na kuchelewa kufika shuleni hapo.
Na zoezi hilo limedaiwa kubarikiwa na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Hadija Telela.
WAZO:serikali imezuia uchapaji wa viboko mashuleni sasa mbadala wake kwa wanafunzi wanaokusa waalimu watoe adhabu gani kwao??maana kwa mwanafunzi wa kibongo akiachwa tu sidhani kama tutafika maana wanafunzi walio wengi hawapendi shule kutokana na mawazo ya utoto hasa hawa wanaosoma katika shule za serikali na ambao wanatoka katika familia duni kimaisha!!!sijui tutashauli vipi juu ya hili wanajamii au wanajamvi au tunamtazamo gani juu ya hili?ukizingatia tupo kusini mwa jangwa la sahara!
Taarifa kutoka shuleni hapo ilisema kuwa mwalimu anayefahamika kwa jina la Preygod Isaya [26] ameiingiza shule hiyo kwenye kashfa hiyo.
Mwalimu Isaya mwalimu wa hisabati darasa la sita amewapa wanafunzi wake adhabu ya kuwachapa na waya wa umeme baada ya kuona wanafunzi hao hawasikii.
Hata hivyo mwalimu huyo alifafanua kuwa aliamua kuwachapa na waya huo kwa kuona fimbo haiwatoshelezi kuwapigia wanafunzi hao kutokana na kosa lao.
Pia shule hiyo imekuwa na tuhuma ya kuwapa adhabu ya kuwarudisha wanafunzi nyumbani kutokana na kuchelewa kufika shuleni hapo.
Na zoezi hilo limedaiwa kubarikiwa na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Hadija Telela.
WAZO:serikali imezuia uchapaji wa viboko mashuleni sasa mbadala wake kwa wanafunzi wanaokusa waalimu watoe adhabu gani kwao??maana kwa mwanafunzi wa kibongo akiachwa tu sidhani kama tutafika maana wanafunzi walio wengi hawapendi shule kutokana na mawazo ya utoto hasa hawa wanaosoma katika shule za serikali na ambao wanatoka katika familia duni kimaisha!!!sijui tutashauli vipi juu ya hili wanajamii au wanajamvi au tunamtazamo gani juu ya hili?ukizingatia tupo kusini mwa jangwa la sahara!