mwalimu wa hisabati darasa la sita

kilimasera

JF-Expert Member
Dec 2, 2009
3,068
268
SHULE ya Msingi Bunge ya jijini Dar es salam, imeingia kwenye kashfa baada ya mwalimu mmoja shuleni hapo kuwaadhibu wanafunzi kwa waya wa transfoma.
Taarifa kutoka shuleni hapo ilisema kuwa mwalimu anayefahamika kwa jina la Preygod Isaya [26] ameiingiza shule hiyo kwenye kashfa hiyo.

Mwalimu Isaya mwalimu wa hisabati darasa la sita amewapa wanafunzi wake adhabu ya kuwachapa na waya wa umeme baada ya kuona wanafunzi hao hawasikii.

Hata hivyo mwalimu huyo alifafanua kuwa aliamua kuwachapa na waya huo kwa kuona fimbo haiwatoshelezi kuwapigia wanafunzi hao kutokana na kosa lao.

Pia shule hiyo imekuwa na tuhuma ya kuwapa adhabu ya kuwarudisha wanafunzi nyumbani kutokana na kuchelewa kufika shuleni hapo.

Na zoezi hilo limedaiwa kubarikiwa na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Hadija Telela.

WAZO:serikali imezuia uchapaji wa viboko mashuleni sasa mbadala wake kwa wanafunzi wanaokusa waalimu watoe adhabu gani kwao??maana kwa mwanafunzi wa kibongo akiachwa tu sidhani kama tutafika maana wanafunzi walio wengi hawapendi shule kutokana na mawazo ya utoto hasa hawa wanaosoma katika shule za serikali na ambao wanatoka katika familia duni kimaisha!!!sijui tutashauli vipi juu ya hili wanajamii au wanajamvi au tunamtazamo gani juu ya hili?ukizingatia tupo kusini mwa jangwa la sahara!
 
Unasemaje?!, lazima watoto wetu wachalazwe kwa nyaya za umeme?!, uliona yaliyotokea buguruni- mwalimu kanyofoa kope za mwanafunzi kisa kasahau daftari nyumbani: wewe unabaliki hili?! CRAP.
 
hujanielewa mkuu bado ninachosema kwamba mnafikiri baada ya kuzuia adhabu ya viboko tufanyi nini ambacho kiwe mkabala wa viboko yaani kwamba ili kudhibiti nidhamu ya mwanafunzi kifanyike nini?mie siungi mkono hayo ya kunyofolewa kope!nimekua nikisikia kwa muda mrefu sana viboko vizuiwe mashuleni bila kusikia mapendekezo ya kukabili nidhamu!
Unasemaje?!, lazima watoto wetu wachalazwe kwa nyaya za umeme?!, uliona yaliyotokea buguruni- mwalimu kanyofoa kope za mwanafunzi kisa kasahau daftari nyumbani: wewe unabaliki hili?! CRAP.
 
hujanielewa mkuu bado ninachosema kwamba mnafikiri baada ya kuzuia adhabu ya viboko tufanyi nini ambacho kiwe mkabala wa viboko yaani kwamba ili kudhibiti nidhamu ya mwanafunzi kifanyike nini?mie siungi mkono hayo ya kunyofolewa kope!nimekua nikisikia kwa muda mrefu sana viboko vizuiwe mashuleni bila kusikia mapendekezo ya kukabili nidhamu!

Watoto wapelekwe na school bus shuleni, wapewe chai ya maziwa, bites, chocolate, juice, wafundishwe kwa upendo, wacheze michezo mbalimbali, wakifika nyumbani wasipewe kazi nzito, wasaidiwe homework na wazazi na sio mabeki tatu, wanunuliwe nguo mpya za shule na mabegi mapya mara kwa mara, wafundishwe tabia njema tangu utotoni, wasikilizwe, waheshimiwe, wapendwe, na mambo mengine mbalimbali halafu uone kama kuna mtoto atachukia shule au atatega shule....watoto huwa ni wajanja sana kugundua hapa ndipo au sipo mapema kabisa........
 
usiangalie kwa familia zenye kipato kuna familia zipo vijijini ambako hakuna yote hayo uliyoyataja pia kila mtoto wa serikali kuna uwezekano kweli akapelekwa shule kwa school bus na hali hii ya maisha ilivyo ngumu
Watoto wapelekwe na school bus shuleni, wapewe chai ya maziwa, bites, chocolate, juice, wafundishwe kwa upendo, wacheze michezo mbalimbali, wakifika nyumbani wasipewe kazi nzito, wasaidiwe homework na wazazi na sio mabeki tatu, wanunuliwe nguo mpya za shule na mabegi mapya mara kwa mara, wafundishwe tabia njema tangu utotoni, wasikilizwe, waheshimiwe, wapendwe, na mambo mengine mbalimbali halafu uone kama kuna mtoto atachukia shule au atatega shule....watoto huwa ni wajanja sana kugundua hapa ndipo au sipo mapema kabisa........
 
Watoto wapelekwe na school bus shuleni, wapewe chai ya maziwa, bites, chocolate, juice, wafundishwe kwa upendo, wacheze michezo mbalimbali, wakifika nyumbani wasipewe kazi nzito, wasaidiwe homework na wazazi na sio mabeki tatu, wanunuliwe nguo mpya za shule na mabegi mapya mara kwa mara, wafundishwe tabia njema tangu utotoni, wasikilizwe, waheshimiwe, wapendwe, na mambo mengine mbalimbali halafu uone kama kuna mtoto atachukia shule au atatega shule....watoto huwa ni wajanja sana kugundua hapa ndipo au sipo mapema kabisa........
Tehe.. We umenifurahisha sana. Ila sidhani kama ume consider hali ya watanzania walio wengi waishio vijijini.
 
viboko muhimu sana, cc tumelelewa na viboko dats y tuko hapa, watoto wa siku hz weng wao wanafel kwa kukosa motivation hii, lakin kuwaadhibu kwa waya hapa mwalimu amekosea tena sana tu, angetafuta njia mbadala lakin co waya
 
kwa waya nakubali kabisa kakosea ila ukweli utabaki viboko muhimu nakuunga mkono man cha muhimu kuwe na idadi ya viboko na kulingana na afya ya mwanafunzi maana kuna wengine kiboko kimoja tu kadondoka na nasikitika shule za miaka hii hazina gwaride wala mchakamchaka!
viboko muhimu sana, cc tumelelewa na viboko dats y tuko hapa, watoto wa siku hz weng wao wanafel kwa kukosa motivation hii, lakin kuwaadhibu kwa waya hapa mwalimu amekosea tena sana tu, angetafuta njia mbadala lakin co waya
 
yaani hii habari imenigusa, hapo Bunge kuna historia ya walimu wakatili hakuna mfano, utafikiri hawana watoto au hawatazaa, yaani ndo chanzo kimojawapo cha utoro mashuleni.
 
shule ipo ikulu
yaani hii habari imenigusa, hapo Bunge kuna historia ya walimu wakatili hakuna mfano, utafikiri hawana watoto au hawatazaa, yaani ndo chanzo kimojawapo cha utoro mashuleni.
 
ualimu ni kazi ngumu lakini at the end of the year unatakiwa ufaurishe wanafunzi wote. hivyo strategy ya kwanza ni kuanza kuwa groom standard six kuwa kama LAST YEAR(LY). Wakifika ly wanakuwa wamekomaa kabisa. hivyo basi shule ya bunge huwa inafaurisha watoto wote darasa la saba. ikitokea bahati mbaya wafeli wawili au mmoja. kwa kudhibitisha hilo kupata nafasi ya standard one lazima ndugu yako awe either mwalimu au kigogo wa serikali kuu. wanafunzi wa standard one wanafanyiwa interview ya kusoma na kuandika kama hawezi nafasi hakuna. Jamani nani kwa umri wetu huu hajui utamu wa viboko na matunda yake. ukitaka kujua zaidi waulize wanafunzi wa tabora boys viboko vya jeshi vilivyosaidia kutengeneza one. sasa hivi hakuna viboko ziro za kumwaga. viboko oyeee .
 
SHULE ya Msingi Bunge ya jijini Dar es salam, imeingia kwenye kashfa baada ya mwalimu mmoja shuleni hapo kuwaadhibu wanafunzi kwa waya wa transfoma.
Taarifa kutoka shuleni hapo ilisema kuwa mwalimu anayefahamika kwa jina la Preygod Isaya [26] ameiingiza shule hiyo kwenye kashfa hiyo.

Mwalimu Isaya mwalimu wa hisabati darasa la sita amewapa wanafunzi wake adhabu ya kuwachapa na waya wa umeme baada ya kuona wanafunzi hao hawasikii.

Hata hivyo mwalimu huyo alifafanua kuwa aliamua kuwachapa na waya huo kwa kuona fimbo haiwatoshelezi kuwapigia wanafunzi hao kutokana na kosa lao.

Pia shule hiyo imekuwa na tuhuma ya kuwapa adhabu ya kuwarudisha wanafunzi nyumbani kutokana na kuchelewa kufika shuleni hapo.

Na zoezi hilo limedaiwa kubarikiwa na Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Hadija Telela.

WAZO:serikali imezuia uchapaji wa viboko mashuleni sasa mbadala wake kwa wanafunzi wanaokusa waalimu watoe adhabu gani kwao??maana kwa mwanafunzi wa kibongo akiachwa tu sidhani kama tutafika maana wanafunzi walio wengi hawapendi shule kutokana na mawazo ya utoto hasa hawa wanaosoma katika shule za serikali na ambao wanatoka katika familia duni kimaisha!!!sijui tutashauli vipi juu ya hili wanajamii au wanajamvi au tunamtazamo gani juu ya hili?ukizingatia tupo kusini mwa jangwa la sahara!

Waalimu wengi wa shule za msingi ni wavuta bange. Sasa unategemea nini kutoka kwa mvuta bange?
 
hii shule jamani mbona ilikuwa nzuri miaka ya nyuma?mm nilisoma hapo hapo.watoto wengi wa wakubwa{mimi sio mmoja wapo}wengi walisoma hapo
 
tatizo wanasema sio watoto ni waalimu wanawachapa kwa waya ila sina hakika kama ina watoto wakorofi pia
hii shule jamani mbona ilikuwa nzuri miaka ya nyuma?mm nilisoma hapo hapo.watoto wengi wa wakubwa{mimi sio mmoja wapo}wengi walisoma hapo
 
Back
Top Bottom