Mwalimu wa chemistry

Mwalimu wa chemistry

diaz

Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
80
Reaction score
9
kama unatafuta au kuhitaji mwalimu wa chemistry aje kufundisha kwenye shule yako au tuition nyumbani kwako, tafadhali piga simu +255 715 812862 kwa maelewano zaidi.
 
upo mtaa gani mkuu..ama unaweza tembea kokote kule Africa mashariki?
 
upo mtaa gani mkuu..ama unaweza tembea kokote kule Africa mashariki?

Sorry wadau wangu wa elimu. Mwalimu napatikana Dar-es-salaam, Ilala maeneo ya Gongo la Mboto. Mwalimu ni mwajiriwa wa Halmashauri ya wilaya ya Kisarawe but ni katika hali ya kutaka kujiongezea kipato thats why natafuta Partime. Kama kutakuwa na shule ambayo tutakubaliana kwenye malipo nipo tayari kwa mazungumzo na tukikubaliana nitafanya nao kazi.
 
Back
Top Bottom