Silver-Nitrate
Member
- Mar 30, 2017
- 11
- 9
Habarini Wanajamvi.
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25. Nina Shahada ya awali(Bachelor's Degree) ya Sayansi na Elimu katika masomo ya Kemia na Baiolojia.
Ninatafuta kazi ya ualimu wa masomo tajwa hapo juu katika Shule za sekondari,Shule za msingi za mchepuo wa kiingereza na Vyuo vya kati.Yeyote atakayeguswa na uzi huu na kuwiwa kunisaidia asisite kuwasiliana nami kupitia PM.
Ninatanguliza shukrani.
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 25. Nina Shahada ya awali(Bachelor's Degree) ya Sayansi na Elimu katika masomo ya Kemia na Baiolojia.
Ninatafuta kazi ya ualimu wa masomo tajwa hapo juu katika Shule za sekondari,Shule za msingi za mchepuo wa kiingereza na Vyuo vya kati.Yeyote atakayeguswa na uzi huu na kuwiwa kunisaidia asisite kuwasiliana nami kupitia PM.
Ninatanguliza shukrani.