Namche Bazar Senior Member Joined Apr 8, 2019 Posts 122 Reaction score 179 Jan 4, 2023 #1 Habari za leo? Mwalimu wa Chekechea ya English Medium (shule ya awali) anahitajika kwenye shule iliyopo Kilapula,Tanga. Anahitajika mwalimu mwenye taaluma ya ualimu na mzoefu na watoto. Mwenye sifa tajwa tuwasiliane PM.
Habari za leo? Mwalimu wa Chekechea ya English Medium (shule ya awali) anahitajika kwenye shule iliyopo Kilapula,Tanga. Anahitajika mwalimu mwenye taaluma ya ualimu na mzoefu na watoto. Mwenye sifa tajwa tuwasiliane PM.
Mpwayungu Village JF-Expert Member Joined Jul 21, 2021 Posts 14,575 Reaction score 31,013 Jan 5, 2023 #2 Watakuja wasiojitambua
Namche Bazar Senior Member Joined Apr 8, 2019 Posts 122 Reaction score 179 Jan 5, 2023 Thread starter #3 mpwayungu village said: Watakuja wasiojitambua Click to expand... Sawa mwalimu mstaafu
Ahmed Saidi JF-Expert Member Joined Oct 15, 2019 Posts 1,649 Reaction score 3,558 Jan 5, 2023 #4 mpwayungu village said: Watakuja wasiojitambua Click to expand... Daah ila wewe jamaa una chuki na walimu sana
mpwayungu village said: Watakuja wasiojitambua Click to expand... Daah ila wewe jamaa una chuki na walimu sana
kyagata JF-Expert Member Joined Oct 18, 2016 Posts 13,753 Reaction score 25,583 Jan 5, 2023 #5 mpwayungu village said: Watakuja wasiojitambua Click to expand... Wewe unavyojiona unajitambua kweli?maana kwa jitu zima kama wewe ni aibu kudharau kazi za wenzako.
mpwayungu village said: Watakuja wasiojitambua Click to expand... Wewe unavyojiona unajitambua kweli?maana kwa jitu zima kama wewe ni aibu kudharau kazi za wenzako.
Kanungila Karim JF-Expert Member Joined Apr 29, 2016 Posts 20,746 Reaction score 25,639 Jan 7, 2023 #6 Kapatikana au bado?
Ahmed Saidi JF-Expert Member Joined Oct 15, 2019 Posts 1,649 Reaction score 3,558 Jan 7, 2023 #7 kyagata said: Wewe unavyojiona unajitambua kweli?maana kwa jitu zima kama wewe ni aibu kudharau kazi za wenzako. Click to expand... Sijui akitaka hao wanafunzi wafundishwe na nani, akili mgando hizo
kyagata said: Wewe unavyojiona unajitambua kweli?maana kwa jitu zima kama wewe ni aibu kudharau kazi za wenzako. Click to expand... Sijui akitaka hao wanafunzi wafundishwe na nani, akili mgando hizo
Namche Bazar Senior Member Joined Apr 8, 2019 Posts 122 Reaction score 179 Jan 7, 2023 Thread starter #8 Kanungila Karim said: Kapatikana au bado? Click to expand... Bado
M Madibira 1 JF-Expert Member Joined Jan 6, 2023 Posts 371 Reaction score 844 Jan 8, 2023 #9 Namche Bazar said: Bado Click to expand... Kama posho yakueleweka niunganishe nije
Nakubusu JF-Expert Member Joined Nov 3, 2022 Posts 840 Reaction score 2,017 May 29, 2023 #10 Kanungila Karim said: Kapatikana au bado? Click to expand... Ila wewe ππππππππ kila uzi unauliza tu ivyo
Kanungila Karim said: Kapatikana au bado? Click to expand... Ila wewe ππππππππ kila uzi unauliza tu ivyo