S shakamohd Member Dec 28, 2011 49 6 Apr 27, 2012 #1 Mwalimu: Maandazi matano ukitoa mawili yatabakia mangapi? Mwanafunzi: kama ukinipa na supu halibaki hata moja
Mwalimu: Maandazi matano ukitoa mawili yatabakia mangapi? Mwanafunzi: kama ukinipa na supu halibaki hata moja
Lord K JF-Expert Member Feb 17, 2012 213 37 Apr 28, 2012 #4 waalimu nao waangalie mifano ya kutoa sometime ukiwa na njaa mifano kama hii siyo kabisa!
S Sultani kambe Member Apr 26, 2012 63 4 Apr 28, 2012 #5 Sababu yote hii ni kwajili ya CC... malizia, Ndio coz hiz njaa hadi darasani
Endangered JF-Expert Member Sep 22, 2011 922 228 Apr 29, 2012 #6 Shaka umeniacha hoi mkuu! Teh teh teh. Sasa sijui mwalimu alimchapa au ndo ilikuwa kama marking scheme hiyo.
Shaka umeniacha hoi mkuu! Teh teh teh. Sasa sijui mwalimu alimchapa au ndo ilikuwa kama marking scheme hiyo.
W wajinawangu Senior Member Apr 3, 2012 128 20 Apr 29, 2012 #7 kwa maswali haya, tunatarajia tupate wazalendo kweli?
S shakamohd Member Dec 28, 2011 49 6 Apr 30, 2012 Thread starter #8 Endangered said: Shaka umeniacha hoi mkuu! Teh teh teh. Sasa sijui mwalimu alimchapa au ndo ilikuwa kama marking scheme hiyo. Click to expand... Apo hata mm sifahamu kilichotokea
Endangered said: Shaka umeniacha hoi mkuu! Teh teh teh. Sasa sijui mwalimu alimchapa au ndo ilikuwa kama marking scheme hiyo. Click to expand... Apo hata mm sifahamu kilichotokea