Asalam.
Mwalimu JKN alisafiri kwenda UN kudai Uhuru. Akaupata. Wakili Mwambukusi na Wengine High Court Mbeya kudai Territorial Sovereignty Ya Tanzania. Mwambukusi anadai kitu muhimu katika maslahi ya Taifa na Dola yetu, ULINZI WA MIPAKA na UHURU WA MAAMUZI YETU. Je tutafanikiwa ? Nini utabiri wako
Mwalimu JKN alisafiri kwenda UN kudai Uhuru. Akaupata. Wakili Mwambukusi na Wengine High Court Mbeya kudai Territorial Sovereignty Ya Tanzania. Mwambukusi anadai kitu muhimu katika maslahi ya Taifa na Dola yetu, ULINZI WA MIPAKA na UHURU WA MAAMUZI YETU. Je tutafanikiwa ? Nini utabiri wako