Mwalimu ni mwanafunzi wa kudumu

Lugano Edom

Senior Member
Joined
Dec 2, 2021
Posts
161
Reaction score
298
Mwalimu ni mwanafunzi wa kudumu

Mwalimu Akiipenda kazi anajituma sana. Na huwa ANAUMIA mwanafunzi wake Wakifeli.

Sema hurudishwa nyuma na maneno ya kashifa kutoka kwa viongozi wa juu yake.

WENGI Huwadharau Waalimu huona hawana thamani hapa duniani. Wala hawafai kusikilizwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…