Mwalimu na Mwanafunzi1

Washawasha

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
16,948
Reaction score
13,378
Mwanafunzi mmoja alikuwa analia baada ya kuporwa kalamu na mwenziwe ndipo mwl akawa anamsihi yule mtoto asilie. MWALIMU:usilie sana utakuja kuwa mbaya ukubwani .MWANAFUNZI:Bac inaonesha mwalimu ulikuwa unalia sana wakati ukiwa mdogo
 
hahahahahahaaa dah! Inawezekana huyo denti alikula mikwaju mpaka basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…