johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Katika siku ya mwisho ya mkutano wa Injili jijini Mbeya wa Huduma ya Mana Mwalimu Mwakasege awaambia wana Mbeya hata kama haukubaliki kisiasa endelea kuomba Mungu atakusikia.
Ni ujumbe muhimu sana kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu 2025.
Kwako Sugu, Mdude, Daktari na Wakili Mwabukusi ๐๐ฅ.
Ni ujumbe muhimu sana kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu 2025.
Kwako Sugu, Mdude, Daktari na Wakili Mwabukusi ๐๐ฅ.