ndugu yangu labda nikwambie kitu kimoja, nimesema kuwa huyu mwalimu ni mgeni katika kazi na isitoshe kazi yetu ya ualimu ina miiko yake. hebu turudi kwenye point lengo la mimi kuja hapa kuomba ushauri ni kutaka kupata njia sahihi za kumfanya huyu mwalimu awe kwenye utaratibu unaoeleka wala sikua na maana ya kumdharirisha mwalimu mwenzangu.Jamii tunayoishi imejaa kila aina ya mambo sio kila jambo liletwe ktk forums.Ina maana siku mkeo akipika maharage yasipoiva utaleta huku tukushauri nini?
ndugu yangu labda nikwambie kitu kimoja, nimesema kuwa huyu mwalimu ni mgeni katika kazi na isitoshe kazi yetu ya ualimu ina miiko yake. hebu turudi kwenye point lengo la mimi kuja hapa kuomba ushauri ni kutaka kupata njia sahihi za kumfanya huyu mwalimu awe kwenye utaratibu unaoeleka wala sikua na maana ya kumdharirisha mwalimu mwenzangu.
ndugu yangu labda nikwambie kitu kimoja, nimesema kuwa huyu mwalimu ni mgeni katika kazi na isitoshe kazi yetu ya ualimu ina miiko yake. hebu turudi kwenye point lengo la mimi kuja hapa kuomba ushauri ni kutaka kupata njia sahihi za kumfanya huyu mwalimu awe kwenye utaratibu unaoeleka wala sikua na maana ya kumdharirisha mwalimu mwenzangu.
Mfanyieni mpango achonge funguo yakeNi katika shule ya msingi limbende iliyopo halmashauri ya mtwara vijijini mkoa wa mtwara tumempata mwalimu mpya wa daraja la tatu A na tangu alipoti hapa kituo cha kazi hadi leo ametimiza wiki moja hivi, lakini cha kushangaza huyu mwalimu pamoja na ugeni wake katika kazi na hata katika jamii amekua akifanya mambo yake kanakwamba ana muda mrefu hapa, anakunywa pombe ovyo ovyo, anavuta bangi bila kujificha na mbaya zaidi akienda kunywa huchelewa kurudi nyumbani, huwa anarudi usiku wa saa tano hadi saa sita na huwa anatugongea ili tumfungulie na hufanya hivyo, na tumejaribu kuongea nae sisi walimu wenzake ili aache hiyo tabia lakini haonyeshi kubadilika. Naomba ushauri wenu wana jf kuhusu hili tatizo. Huyu mwalimu anatoka mkoa wa mara wilaya ya musoma. Ushauri tafadhari....
Kwa jina lingine mleta mada naweza kukuita mbea,
Unajua taarifa ulizotoa zinamuhusu mtu mwenye dhamana ktk jamii?
Lengo lango ni kumdhalilisha.
Ni vyema ungetueleza mapungufu yako wewe ulionayo kwanza then utueleze ya mwenzako. AU wewe uko perfect kwa kila jambo?
TAFAKARI
Nakula ujana...yani ndio umenileta kunishitak jf?leo nakuvutia bangi ili unitambue vizuri
Una mihemko ya kishoga shoga sana we dogo. Waarabu wamekuharibuKwa jina lingine mleta mada naweza kukuita mbea,
Unajua taarifa ulizotoa zinamuhusu mtu mwenye dhamana ktk jamii?
Lengo lango ni kumdhalilisha.
Ni vyema ungetueleza mapungufu yako wewe ulionayo kwanza then utueleze ya mwenzako. AU wewe uko perfect kwa kila jambo?
TAFAKARI