Mwalimu mkuu Kiluvya sec amezidisha adhabu

Kwa mtindo huo ni lazima tuzalishe mabaunsa;
hasira za walimu zinaishia kwa wanafunzi;
hii haijakaa vizuri.

Ndiyo maana tunazalisha nguvu kazi ya kukomoana na si ya kusaidiana. Ikiwa mpaka leo mashuleni Waalim bado wanachapa na si kufundissha. Unategemea nini huyo akija kuwa bosi wa kampuni?
 
Sister usiombe kuniona mimi napiga mtu!
Manake kila kitu ni ruksa!
Kuanzia mikono, mawe, masala mpaka risasi!

Labda nife! Lkn kila nikiinuka vita inaanza upya!

Yaani ni balaa!
wewe kweli unaweza haya yote wala sina shaka
 
we ndo mwalimu sasa unaingia darasani unakuta kuna hewa nzito unauliza 'mbona kuna harufu humu ndani' afu ka mwanafunzi bakibencha huko kanajibu 'hata si tumesikia baada ya we kuingia' unafanyaje hapo.
 
Hapo ndipo ualimu wako unapopimwa sasa;
we ndo mwalimu sasa unaingia darasani unakuta kuna hewa nzito unauliza 'mbona kuna harufu humu ndani' afu ka mwanafunzi bakibencha huko kanajibu 'hata si tumesikia baada ya we kuingia' unafanyaje hapo.
 
Loooh, umefufua wapi hii kitu;
yule mwalimu alimchapa sana binti yangu
kwa upande alisaidia makuzi ila kwa upande aliniumiza.

Wazazi wa .com mnawalemaza sana watoto ndo maana serikali inahangaika kubadili alama za ufaulu, we endelea kumwona huruma akipata Div. IV ya point 45 usije kulalamika hapa
 
Wazazi wa .com mnawalemaza sana watoto ndo maana serikali inahangaika kubadili alama za ufaulu, we endelea kumwona huruma akipata Div. IV ya point 45 usije kulalamika hapa

mkuu hiyo si four aisee,, hiyo ni zero ati!

goodmorning!
 
we ndo mwalimu sasa unaingia darasani unakuta kuna hewa nzito unauliza 'mbona kuna harufu humu ndani' afu ka mwanafunzi bakibencha huko kanajibu 'hata si tumesikia baada ya we kuingia' unafanyaje hapo.

mkuu shule za serikali ni zaidi ya uzijuavyo... kuna mengi zaidi ya hayo!

mi shule niliyosoma, kuna wanafunzi aisee walikuwa wanadiriki hata kulana mate wakati mwalimu akifundisha! mwalimu akiwapa tu mgongo.. wanafanya yao! sijui wale watoto walikuwa na majini?

actually, madarasa ya arts mara nyingi yana wanafunzi wenye extreme behaviours... anakuja shule saa mbili, anaondoka saa tano asubuhi! unadhani division ziro ya 49 itakwepeka hapo?
 
mkuu hiyo si four aisee,, hiyo ni zero ati!

goodmorning!

Hapana hiyo ni IV ya kufaulu kusiko ridhisha ukila point 42 bila C hiyo ni zero

s1930/0102
m41ivciv - 'e' hist - 'e' geo - 'e' kisw - 'c' engl - 'e' chem - 'f' bio - 'e' b/math - 'f'
s1930/0112m41ivciv - 'e' hist - 'f' geo - 'e' kisw - 'c' engl - 'd' bio - 'e' b/math - 'f'


s1930/0058m410civ - 'e' hist - 'e' geo - 'e' kisw - 'd' engl - 'e' phy - 'e' chem - 'e' bio - 'e' b/math - 'e'


s1930/0101m450civ - 'e' hist - 'f' geo - 'f' kisw - 'd' engl - 'f' bio - 'e' b/math - 'f'


s1930/0084m450civ - 'e' hist - 'f' geo - 'f' kisw - 'd' engl - 'f' bio - 'e' b/math - 'f'


s1930/0057m45ivciv - 'f' hist - 'f' geo - 'f' kisw - 'c' engl - 'e' bio - 'f' b/math - 'f'

s1930/0045f45ivciv - 'e' hist - 'f' geo - 'f' kisw - 'c' engl - 'f' bio - 'f' b/math - 'f'


s1930/0008f45ivciv - 'f' hist - 'f' geo - 'f' kisw - 'c' engl - 'e' bio - 'f' b/math - 'f'
s1930/0009f450civ - 'e' hist - 'f' geo - 'f' kisw - 'd' engl - 'e' bio - 'f' b/math - 'f'
 
duh.. aisee Fidel80, huu mfumo ni majanga..! kuangalia tu matokeo inahitaji akili nyingine..

sasa kwa mfano hawa waliopata 49, tuwasaidije aisee?
 
Last edited by a moderator:
mkuu shule za serikali ni zaidi ya uzijuavyo... kuna mengi zaidi ya hayo!

mi shule niliyosoma, kuna wanafunzi aisee walikuwa wanadiriki hata kulana mate wakati mwalimu akifundisha! mwalimu akiwapa tu mgongo.. wanafanya yao! sijui wale watoto walikuwa na majini?

actually, madarasa ya arts mara nyingi yana wanafunzi wenye extreme behaviours... anakuja shule saa mbili, anaondoka saa tano asubuhi! unadhani division ziro ya 49 itakwepeka hapo?
duh! kazi ingenishinda, hapo
 
duh! kazi ingenishinda, hapo

acha kabisa... kuna kibinti kingine bana kilipandisha majini kwa lazima, namaanisha kwa kujilazimisha! aisee, halafu baada ya hapo akaingia staff room na kufanya fujo ya haja!!!

waacheni tu wafeli.. tushaongea mno mpaka sasa ishakuwa kero..
 
Back
Top Bottom