Mimi ni mwalimu wa secondary nahitaji mwalimu wa kubadirishana nae, me nipo manispaa ya bukoba yeye awe manispaa ya songea, sumbawanga, iringa, kibaha(pwani) na dodoma, ndugu no yangu ni 0759444928
Yaani mwalimu mzima hujui kwamba jina la mji ni proper noun na hivyo lazima majina ya miji yaanze na capital letters. wewe sio mwalimu ila bull shit. Laana we. Kwa uwezo wako huo labda ubadilishane na watu wa DRC
...dah wakuu muacheni "big results now" anataka kuhama. Oyaaa ticha kuna uzi wenu wa kubadilishana utafute unaeza kuta wapo watu tayari,kama vipi tubadilishane na mimi,njoo mwanakwerekwe nauza kioski afu mi nije kuwa ticha, teh teh...