Mimi ni Mwalimu, Idara ya sekondari, tangu sijaajiriwa nilikuwa sijaona lolote la maana wanalofanya CHAMA Cha Walimu.
Hawa watu licha ya kujitarisha kupitia michango yetu kwa kukata Agency Fee 2% ya basic salary.Sasa wamelewa na hiyo pesa hadi wamesahau ni nani amewaajiri Vigogo Hawa WA CWT.
kuna mambo Walimu hawatendewi haki na mwajiri wao lakini Vigogo Hawa WA CWT hawatoi matamko, Mfano:
1.Kwa mjibu WA mkataba WA Walimu WA Serikali, Kila Mwezi WA saba kutakuwa NA Annual Salary Increment, cha kushangaza haki Hii imeporwa na kuzimwa, CHAMA cha Walimu hawajatoa tamko kuhusu lini Walimu wataongezewa
2.Walimu kulazimishwa kukesha kwenye Mwenge na Mwaajiri Sengerema, sikuona Oluoch akitoa tamko wala Mikoba.
3.Walimu wa kawaida kutokupewa posho ya mazingira Magumu Badala yake Wakuu WA SHULE ndio wamepewa Japo sijathibitisha hilo kwa macho, niite tetesi.
Jana nilimtazama Bwana Ezekia Oluoch akipongeza Walimu Wakuu waliozidisha wanafunzi wawajibishwe, akiongea kwa uchungu huku povu likimtoka alikazia kuisapoti Serikali kwa hilo.
Sasa Oluoch mbona hayo mambo matatu Hapo juu hujayazungumzia ilihali sisi Walimu ndio waajiri wako?Au alieshiba hamjali mwenye NJAA?
Hawa watu licha ya kujitarisha kupitia michango yetu kwa kukata Agency Fee 2% ya basic salary.Sasa wamelewa na hiyo pesa hadi wamesahau ni nani amewaajiri Vigogo Hawa WA CWT.
kuna mambo Walimu hawatendewi haki na mwajiri wao lakini Vigogo Hawa WA CWT hawatoi matamko, Mfano:
1.Kwa mjibu WA mkataba WA Walimu WA Serikali, Kila Mwezi WA saba kutakuwa NA Annual Salary Increment, cha kushangaza haki Hii imeporwa na kuzimwa, CHAMA cha Walimu hawajatoa tamko kuhusu lini Walimu wataongezewa
2.Walimu kulazimishwa kukesha kwenye Mwenge na Mwaajiri Sengerema, sikuona Oluoch akitoa tamko wala Mikoba.
3.Walimu wa kawaida kutokupewa posho ya mazingira Magumu Badala yake Wakuu WA SHULE ndio wamepewa Japo sijathibitisha hilo kwa macho, niite tetesi.
Jana nilimtazama Bwana Ezekia Oluoch akipongeza Walimu Wakuu waliozidisha wanafunzi wawajibishwe, akiongea kwa uchungu huku povu likimtoka alikazia kuisapoti Serikali kwa hilo.
Sasa Oluoch mbona hayo mambo matatu Hapo juu hujayazungumzia ilihali sisi Walimu ndio waajiri wako?Au alieshiba hamjali mwenye NJAA?