Mwalimu akutwa na mwanafunzi chumbani

Mwalimu akutwa na mwanafunzi chumbani

Ushahidi wa Mazingira upo wa kutosha,tena hiyo ni rape kabisa.Wewe hujaoa,huna mke na uko na mtoto wa kike under 18 mmejifungia chumbani kwaKo,unataka ushaidi gani zaidi?NGOJA TICHA AJIBEBE,HAPO NI MINIMUM 30 YRS IMPRISONMENT


Mtoto wa kike mwanafunzi alindwe, Ila na mwalimu alindwe pia.
Ikishatangazwa umebaka hata ikidhibitika sio hapo baadaye, anskuwa ashachafuliwa na hakuna mzazi wa kumwamin kuwafundisha wanae
 
Magu hajatoa nyongeza za mishahara kwa watumishi wa umma tangu aingie madarakani. Maticha wameamua kubuni mbinu mbadala ya kupata motisha kazini. Hongera sana maticha, mtoto akijleta mtafuneni tu.
Ngoja afunuliwe wa kwako,utapata akili ya kuandika kwa adabu.
 
Mkuu kuna umri wa matamanio, lakini ukishauvuka, hayo mambo unayaona ni ya kawaida sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
sio kwa mwanaume" labda mwanaume aamue kuutanguliza ustaarabu'" na utuuzima mbele" ...nadhani ulisikia taarifa kuwa papa amelaani vitendo vya ulawiti vilivyofanywa na baadhi ya mapadre huko USA " ..haya wasemaje sasa" na wale ma padre nao bado hawajifikia huo umri uliokuwa unaaukusudia "?
 
Mkuu kuna umri wa matamanio, lakini ukishauvuka, hayo mambo unayaona ni ya kawaida sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
sio kwa mwanaume" labda mwanaume aamue kuutanguliza ustaarabu'" na utuuzima mbele" ...nadhani ulisikia taarifa kuwa papa amelaani vitendo vya ulawiti vilivyofanywa na baadhi ya mapadre huko USA " ..haya wasemaje sasa" na wale ma padre nao bado hawajifikia huo umri uliokuwa unaaukusudia "?
 
Kwahiyo sisi walimu hatuna haki ya kujuliwa hali tunapougua? tunakua na thamani tukiwa wazima tuu.
 
sio kwa mwanaume" labda mwanaume aamue kuutanguliza ustaarabu'" na utuuzima mbele" ...nadhani ulisikia taarifa kuwa papa amelaani vitendo vya ulawiti vilivyofanywa na baadhi ya mapadre huko USA " ..haya wasemaje sasa" na wale ma padre nao bado hawajifikia huo umri uliokuwa unaaukusudia "?
Unayosema nimeyakubali. Maana hadi leo na uzee wangu, vikikatishaga utakuta mate yanajaa automatic mdomoni, saazingine upo umekaa kwenye tiles, sehemu pa kuyatemea hakuna, inabidi tu uyameze!

Halafu yanakuandama maswali kama upo kwenye ndoto vile "hivi huyu msichana mdogo namna hii, hilo lote ni la kwake?"

Halafu kakiisha kupita unajifariji kwa kukasingizia kwamba kanaringa kweli, "mimi wa kuamkiwa bila kunitizama kweli".... Teh teh teh.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuu aisee Noel bana!ni nini hiki Noel?ni nini?Mbona unataka kumuua mama yako?Umezaliwa mtoto wa kiume peke yako nyumbani kwanini shetani huyu anakushinda?japo sina uhakika kama ulikuwa unafanya naye huyu mtoto!?!! Kwanini Ka mwanafunzi kasikojua hata kuoga kapajue home kwako?

Noel Noel!!?Ni juzi tu nimewasiliana nawe nikasema nitarudi Tz tujue namna ya kufanya partnership ya biashara mie nikiwa huku mbali!!??

Sina neno,Ila Uliepuke hili dhahama na pamoja na ukweli kubaki kuwa utakuwa umechafuka Duniani hata Mbinguni.SIJAKUHUKUMU,Ila Mungu akusaidie rafiki,ndugu yangu wa muda wote wakati tunasoma.IMENIUMA SANA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unayosema nimeyakubali. Maana hadi leo na uzee wangu, vikikatishaga utakuta mate yanajaa automatic mdomoni, saazingine upo umekaa kwenye tiles, sehemu pa kuyatemea hakuna, inabidi tu uyameze!

Halafu yanakuandama maswali kama upo kwenye ndoto vile "hivi huyu msichana mdogo namna hii, hilo lote ni la kwake?"

Halafu kakiisha kupita unajifariji kwa kukasingizia kwamba kanaringa kweli, "mimi wa kuamkiwa bila kunitizama kweli".... Teh teh teh.

Sent using Jamii Forums mobile app
hahaaa " lipa mbavu zangu mkuu" hahaaa aiseee
 
Back
Top Bottom