Mwaliko

Mr D47

Member
Apr 24, 2011
12
0
Familiya ya Sir ALEXFARGASON
iliyopo UK inayofurahakubwa ya
kukualika bw/bi mr/mrs
mh,Dr.................
katika harusi yamtoto
wao mpendwa
aitwaeMANCHESTER UNTD
atakapo fungandoa na bint
CHELSEA mtoto watajiri maarufu
ABROMOVICH katikaukumbi wa
OLD TRAFORD siku ya Jumapil
saa 12:00 jion
fika bila kukosa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom