PreGE2025 Mwaliko mkuu wa kuiponya Nchi hii

PreGE2025 Mwaliko mkuu wa kuiponya Nchi hii

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Mushkov

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2024
Posts
546
Reaction score
1,114
Tulipo si pazuri sana, tunahitaji ukombozi wa kweli wa Nchi hii. Ili kufanikisha ukombozi huo, naomba kumwalika kila kila Mtanzania kwa nafasi yake afanye kila linalowezekana kufanikisha ukombozi huu.

Wewe kama ni Askari, mwanasheria, Daktari, Mwalimu, mkulima, Kiongozi wa Dini, Kiongozi wa kisiasa au Kiongozi wa ngazi yoyote ile hapa Nchini, toa SADAKA yako kwa kusaidia kuikomboa Nchi hii. Mchango wako ni muhimu sana tena sana.

Mimi naamini kila Mtanzania kwa nafasi alioyo nayo anaweza kulisaidia Taifa hili kupata ukombozi wa kweli.

Unaweza kutoa mchango wako wa kuikomboa Nchi hii popote pale ulipo, iwe HADHARANI au kwa SIRI.
Mungu atusaidie sana katika hili.
Ahsante.
 
Tunatafuta ukombozi wa kutoka wapi wakati mambo yako yani kuweka tume huru ya uchaguzi kubadiri katiba na kuiboresha iweze kuleta usawa ktk jamii yetu kupunguza madaraka kwa mkuu wa inchi mpaka teletext sadaka why and HOW? Wacha mambo yako bwana ukweli usipo utaka utakufwata huko uliko
 
UNAENDA KUMKOMBOA NANI WE KIMA?
SADAKA GANI HZO?
MNAVURUGA NCHI KWA HADAA ZENU NA ZA MABOSI WENU WA UBELGIJI HALAFU UNABWABWAJA HAPA USENGE..
UKOMBOZIII, UKOMBOZI WA NYOKO?
KAIKOMBOE GAZA, KAIKOMBOE GOMA, KAIKOMBOE UKRAIN!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom