Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,217
Tukiwauliza DStv kwa nini hawaweki channel za habari za kitaifa kama ITV, Star Tv na Channel ten wanatujibu kuwa hawajapewa kibali toka mamlaka husika TCRA chini ya Wizara ya Habari kurusha.
Vipo vituo kama TV E na Clouds ambavyo vipo DStv lakini hivyo vituo ni vya burudani sio kwa ajili ya hard news za uhakika.
Tumuombe Waziri Mwakyembe aingilie kati suala hilo maana familia kumiliki ving'amuzi viwili au vitatu eti kwa ajili ya kupata channel za ndani ni mambo yaliyopitwa na wakati.
Mbona wenzetu Kenya wameshavuka huko? Uwezo wa kupata habari moja toka vyanzo vingi inasaidia kupanua uwezo wa kiakili wa RAIA wafuatiliaji.
Waziri Mwakyembe ingilia hili
Vipo vituo kama TV E na Clouds ambavyo vipo DStv lakini hivyo vituo ni vya burudani sio kwa ajili ya hard news za uhakika.
Tumuombe Waziri Mwakyembe aingilie kati suala hilo maana familia kumiliki ving'amuzi viwili au vitatu eti kwa ajili ya kupata channel za ndani ni mambo yaliyopitwa na wakati.
Mbona wenzetu Kenya wameshavuka huko? Uwezo wa kupata habari moja toka vyanzo vingi inasaidia kupanua uwezo wa kiakili wa RAIA wafuatiliaji.
Waziri Mwakyembe ingilia hili