Mwakyembe bado mpo kwenye utafiti?

Mwakyembe bado mpo kwenye utafiti?

makanga

Member
Joined
May 28, 2011
Posts
26
Reaction score
1
mimi ni miongoni mwa wakazi wa kyela!!!! kwenye uchaguzi mkuu 2005 mgombea ubunge wetu(mwakyembe) alituahidi mambo mengi tu lakini yaliyokuwa yametugusa sisi wakazi wa kyela hadi tukaamua kumpa ushindi mkubwa ni-

1. kutujengea kiwanda cha kusindika matunda
2. kujenga stand kuu ya kisasa
3. kujenga barabara inayoanzia Kikusya- matema.Pamoja na kuwa hakuna hata moja alilotekeleza kati ya hayo matatu, mimi leo naomba mh mbunge wangu kama yupo humu jamvini anieleze alipofikia ktk ujenzi wa hiyo barabra.sababu ni kwamba barabara hiyo ni kiungo muhimu ktk uchumi wa wilaya yetu kwasababu mazao mengi kama mpunga, kokoa, korosho,mawese na matunda hutokea Matema na Ipinda.

Pia, matema ni sehemu nzuri inayovutia watalii wengi wa ndani na nje ya nchi, hivyo kutokana na kero ya hiyo barabara wilaya inakosa mapato.

Na kero kubwa ni kipindi cha masika kwani barabara hiyo haipitiki na nauli hupanda kufikia hadi 5000.Hivyo kama mwakyembe umo jamvini naomba unijulishe maendeleo ya hiyo barabara kwani kwenye kampeni za uchaguzi ulisema kwamba tayari utafiti kuhusu hiyo barabara umeshafanyika na kama tayari je hiyo barabara imo kwenye bajeti ya 2011/2012?

Wakazi wa kyela hii kero wote inatuhusu kama ahadi haitekalezeki basi nguvu ya umma itumike!

NAWASILISHA!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
mimi ni miongoni mwa wakazi wa kyela!!!! kwenye uchaguzi mkuu 2005 mgombea ubunge wetu(mwakyembe) alituahidi mambo mengi tu lakini yaliyokuwa yametugusa sisi wakazi wa kyela hadi tukaamua kumpa ushindi mkubwa ni 1.kutujengea kiwanda cha kusindika matunda, 2.kujenga stand kuu ya kisasa 3. kujenga barabara inayoanzia Kikusya- matema.Pamoja na kuwa hakuna hata moja alilotekeleza kati ya hayo matatu, mimi leo naomba mh mbunge wangu kama yupo humu jamvini anieleze alipofikia ktk ujenzi wa hiyo barabra.sababu ni kwamba barabara hiyo ni kiungo muhimu ktk uchumi wa wilaya yetu kwasababu mazao mengi kama mpunga, kokoa, korosho,mawese na matunda hutokea Matema na Ipinda. pia matema ni sehemu nzuri inayovutia watalii wengi wa ndani na nje ya nchi,hivyo kutokana na kero ya hiyo barabara wilaya inakosa mapato. na kero kubwa ni kipindi cha masika kwani barabara hiyo haipitiki na nauli hupanda kufikia hadi 5000.Hivyo kama mwakyembe umo jamvini naomba unijulishe maendeleo ya hiyo barabara kwani kwenye kampeni za uchaguzi ulisema kwamba tayari utafiti kuhusu hiyo barabara umeshafanyika na kama tayari je hiyo barabara imo kwenye bajeti ya 2011/2012? wakazi wa kyela hii kero wote inatuhusu kama ahadi haitekalezeki basi nguvu ya umma itumike!!!!!!!!!! NAWASILISHA!!!!!!!!!!!!!!!!!
Wakazi wa kyela naomba sana mchango wenu kwni hiyo barabara inatutesa na ikumbukwe kuwa kyela hatuna barabara yoyote iliyojengwa kwa kiwango cha lami tangia tumepata uhuru (miaka 50), hivyo ni haki nawajibu wetu kudai hiyo bara bara!!!!!! tafakari, chukua hatua!!!!
 
Mkuu , kwa hili mnamuonea Mbunge wenu.
Hivi unajua barabara za lami zinavyojengwa au mnasikia tu?
Kwa kulinganisha ahadi za Mkapa kujenga lami toka Mtwara hadi Mwanza ndo inaendelea kutekelezwa karibu miaka 10 baada ya kutoa ahadi.

Kwa kawaida upembuzi yakinifu huchukua mwaka mmoja.
Utafutaji wa fedha za mradi mwaka mwingine.
Tenda na kumpata mjenzi kuchukua mwaka vile vile.

Kwa uchache unaongelea miaka mitatu kama mambo yamemyookea Mbunge wenu na yuko bennet na Mkuu wa Nchi.
Ukitegemea sana unaishia kuchanganyikiwa.
Samahani sana mi si mkazi wa Kyela lakini barabara hiyo naifahamu sana.
 
Mkuu , kwa hili mnamuonea Mbunge wenu.
Hivi unajua barabara za lami zinavyojengwa au mnasikia tu?
Kwa kulinganisha ahadi za Mkapa kujenga lami toka Mtwara hadi Mwanza ndo inaendelea kutekelezwa karibu miaka 10 baada ya kutoa ahadi.

Kwa kawaida upembuzi yakinifu huchukua mwaka mmoja.
Utafutaji wa fedha za mradi mwaka mwingine.
Tenda na kumpata mjenzi kuchukua mwaka vile vile.

Kwa uchache unaongelea miaka mitatu kama mambo yamemyookea Mbunge wenu na yuko bennet na Mkuu wa Nchi.
Ukitegemea sana unaishia kuchanganyikiwa.
Samahani sana mi si mkazi wa Kyela lakini barabara hiyo naifahamu sana.
sio kwamba namhukumu ila yeye mwenyewe alisema kila kitu kimekamilika hivyo bado ujenzi tu.hivyo atueleze kama katika bajeti fedha zimetengwa au tuendelee kumuita ''mr promise''!!!!!!!
 
sio kwamba namhukumu ila yeye mwenyewe alisema kila kitu kimekamilika hivyo bado ujenzi tu.hivyo atueleze kama katika bajeti fedha zimetengwa au tuendelee kumuita ''mr promise''!!!!!!!

They say"a good politician is the one who promise his/her people about the future,and when the future comes he promise again about the future,...and so it goes",...kwa hiyo nkamu gwangu ungasulumanyiaga-bubali habo mwalafyale,......otherwise tumpe muda kidogo halafu tutaona kama ni kweli ama porojo zao,..........
 
mimi ni miongoni mwa wakazi wa kyela!!!! kwenye uchaguzi mkuu 2005 mgombea ubunge wetu(mwakyembe) alituahidi mambo mengi tu lakini yaliyokuwa yametugusa sisi wakazi wa kyela hadi tukaamua kumpa ushindi mkubwa ni 1.kutujengea kiwanda cha kusindika matunda, 2.kujenga stand kuu ya kisasa 3. kujenga barabara inayoanzia Kikusya- matema.Pamoja na kuwa hakuna hata moja alilotekeleza kati ya hayo matatu, mimi leo naomba mh mbunge wangu kama yupo humu jamvini anieleze alipofikia ktk ujenzi wa hiyo barabra.sababu ni kwamba barabara hiyo ni kiungo muhimu ktk uchumi wa wilaya yetu kwasababu mazao mengi kama mpunga, kokoa, korosho,mawese na matunda hutokea Matema na Ipinda. pia matema ni sehemu nzuri inayovutia watalii wengi wa ndani na nje ya nchi,hivyo kutokana na kero ya hiyo barabara wilaya inakosa mapato. na kero kubwa ni kipindi cha masika kwani barabara hiyo haipitiki na nauli hupanda kufikia hadi 5000.Hivyo kama mwakyembe umo jamvini naomba unijulishe maendeleo ya hiyo barabara kwani kwenye kampeni za uchaguzi ulisema kwamba tayari utafiti kuhusu hiyo barabara umeshafanyika na kama tayari je hiyo barabara imo kwenye bajeti ya 2011/2012? wakazi wa kyela hii kero wote inatuhusu kama ahadi haitekalezeki basi nguvu ya umma itumike!!!!!!!!!! NAWASILISHA!!!!!!!!!!!!!!!!!

Bado upembuzi yakinifu unafanyika, inatarajiwa kuwa upembuzi huo utakamilika mwaka 2014, kazi itaanza rasmi mwaka 2015 mara baada ya uchaguzi mkuu hivyo usifanye kosa kuchagua mwingine, chagua ccm chagua Mwakyembe.
 
Ni mpaema mno!tena nampongeza kwa ahadi chache ambazo ni rahisi kuzitekeleza.

Labda kama alikuambia mwaka wa fedha 2011/12 kuwa atajenga ndo umlaumu ila kumbuka ubunge wake ni wa miaka 5.

Kyela ni kwetu tena maeneo ya talatala ila bado haujafika wakati wa kumlaumu mda bado anao na nadhani atatusaidia katika hayo ni msikivu pia
Budget ya wizara yake bado kusomwa you never know labda imo umo
 
Ni mpaema mno!tena nampongeza kwa ahadi chache ambazo ni rahisi kuzitekeleza.
Labda kama alikuambia mwaka wa fedha 2011/12 kuwa atajenga ndo umlaumu ila kumbuka ubunge wake ni wa miaka 5.
Kyela ni kwetu tena maeneo ya talatala ila bado haujafika wa
kati wa kumlaumu mda bado anao na nadhani atatusaidia katika hayo ni msikivu pia
Budget ya wizara yake bado kusomwa you never know labda imo umo

Lakn anatakiwa aende akatoe taarifa ya kile kinachoendelea kuhusu hiyo ahadi aliyoisema,......still wanna be a player
 
Bado upembuzi yakinifu unafanyika, inatarajiwa kuwa upembuzi huo utakamilika mwaka 2014, kazi itaanza rasmi mwaka 2015 mara baada ya uchaguzi mkuu hivyo usifanye kosa kuchagua mwingine, chagua ccm chagua Mwakyembe.
hatudanganyiki tena!!mwambie huyo mbunge akamuulize mwakipesile kilichomtokea, naye alipendwa sana ila aliondoka kama mbwa! bado yeye!! mwaka 2015 jimbo linaenda chadema!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Lakn anatakiwa aende akatoe taarifa ya kile kinachoendelea kuhusu hiyo ahadi aliyoisema,......still wanna be a player
kamanda umenena,kwa sababu waajiri wake ni sisi (wananchi wa kyela) hivyo kauweka sisi kama vilaza!!! mwakyembe............ tafakari...........chukua hatua!
 
Back
Top Bottom