mimi ni miongoni mwa wakazi wa kyela!!!! kwenye uchaguzi mkuu 2005 mgombea ubunge wetu(mwakyembe) alituahidi mambo mengi tu lakini yaliyokuwa yametugusa sisi wakazi wa kyela hadi tukaamua kumpa ushindi mkubwa ni-
1. kutujengea kiwanda cha kusindika matunda
2. kujenga stand kuu ya kisasa
3. kujenga barabara inayoanzia Kikusya- matema.Pamoja na kuwa hakuna hata moja alilotekeleza kati ya hayo matatu, mimi leo naomba mh mbunge wangu kama yupo humu jamvini anieleze alipofikia ktk ujenzi wa hiyo barabra.sababu ni kwamba barabara hiyo ni kiungo muhimu ktk uchumi wa wilaya yetu kwasababu mazao mengi kama mpunga, kokoa, korosho,mawese na matunda hutokea Matema na Ipinda.
Pia, matema ni sehemu nzuri inayovutia watalii wengi wa ndani na nje ya nchi, hivyo kutokana na kero ya hiyo barabara wilaya inakosa mapato.
Na kero kubwa ni kipindi cha masika kwani barabara hiyo haipitiki na nauli hupanda kufikia hadi 5000.Hivyo kama mwakyembe umo jamvini naomba unijulishe maendeleo ya hiyo barabara kwani kwenye kampeni za uchaguzi ulisema kwamba tayari utafiti kuhusu hiyo barabara umeshafanyika na kama tayari je hiyo barabara imo kwenye bajeti ya 2011/2012?
Wakazi wa kyela hii kero wote inatuhusu kama ahadi haitekalezeki basi nguvu ya umma itumike!
NAWASILISHA!!!!!!!!!!!!!!!!!
1. kutujengea kiwanda cha kusindika matunda
2. kujenga stand kuu ya kisasa
3. kujenga barabara inayoanzia Kikusya- matema.Pamoja na kuwa hakuna hata moja alilotekeleza kati ya hayo matatu, mimi leo naomba mh mbunge wangu kama yupo humu jamvini anieleze alipofikia ktk ujenzi wa hiyo barabra.sababu ni kwamba barabara hiyo ni kiungo muhimu ktk uchumi wa wilaya yetu kwasababu mazao mengi kama mpunga, kokoa, korosho,mawese na matunda hutokea Matema na Ipinda.
Pia, matema ni sehemu nzuri inayovutia watalii wengi wa ndani na nje ya nchi, hivyo kutokana na kero ya hiyo barabara wilaya inakosa mapato.
Na kero kubwa ni kipindi cha masika kwani barabara hiyo haipitiki na nauli hupanda kufikia hadi 5000.Hivyo kama mwakyembe umo jamvini naomba unijulishe maendeleo ya hiyo barabara kwani kwenye kampeni za uchaguzi ulisema kwamba tayari utafiti kuhusu hiyo barabara umeshafanyika na kama tayari je hiyo barabara imo kwenye bajeti ya 2011/2012?
Wakazi wa kyela hii kero wote inatuhusu kama ahadi haitekalezeki basi nguvu ya umma itumike!
NAWASILISHA!!!!!!!!!!!!!!!!!