Huyu mwakyembe hatumuelewi! Kama anatambua maombi yatu, inampasa atueleze alikua anaumwa nini au sumu gani alipewa, kuendelea kukaa kimya au ku ficha ni u snitch. Bora wamuongezee doz ya kutosha, akafie mbali!
Eti ataendelea na kasi ile ile!!! Ana uhakika gani kama JK atamuacha aendelee na uwaziri kwenye mabadiliko ya mwezi huu?
Ambacho sikubaliani na wengi kuhusu Dr. Mwakyembe ni kuhusu ugonjwa wake. Kwanini watu hawakiri maradhi waliyo nayo na wanatafuta sympathy ya wananchi kwa kusema mara kalogwa, mara kategeshewa ajali, mara kawekewa sumu na mafisadi....kwa lipi? Karne ya 21 bado watu wanaamini kwenye tunguli! Watu na maradhi yao lkn wanaficha nyuma ya pazia la mkono wa mtu! Type ya viongozi kama akina Mwakyembe, Sitta, Membe, Nape ambao ni Ma-opportunists siwafagilii sana. Wana udhaifu mkubwa nyuma ya pazia! Ila Kama binadamu nimefurahi afya yake imeimarika na namuombea maisha marefu ili asahihishe pale alipojikwaa!
Huyu mwakyembe hatumuelewi! Kama anatambua maombi yatu, inampasa atueleze alikua anaumwa nini au sumu gani alipewa, kuendelea kukaa kimya au ku ficha ni u snitch. Bora wamuongezee doz ya kutosha, akafie mbali!
Nadhani unakumbuka wakati mwakyembe anasoma ripot ya richmond; mwishoni alisema kuna baadhi ya mambo wameyafunika ili kuilinda serikali. Hatukujua wakati huo lakini baadae tuliona swala la richmond limemalizwa kihuni na waziri mkuu mbele ya sita na sita akafunga mjadala bila kuruhusu hoja za wabunge bado hatukuelewa. Mwisho tumesikia juzi Lowasa anamwambia kikwete ukweli lakini lowasa huyuhuyu ndio alikuwa ameficha ukweli huo kwa nia ya kumlinda rafiki yake, na mambo aliyosema lowassa ndiyo waliyoficha akina mwakyembe na sita.
Mbona wewe una ukimwi na tunakuombea na bado hujataka kueleza watu unaumwa nini?? Kama ni kufa si bora ufe wewe??? Damn you!!!
jamaa ana bonge la jumba la ghorofa!nilidhania wanamapinduzi sio matajiri.
haya maneno uliyo ongea bila shaka yoyote umekosea. ova