Pengine kila mtu alitarajia baada ya jairo anaefwata ni aliekuwa katibu mkuu arther mwakapugi
mh rais najiuliza hivi either umelogwa ama lah maana karatasi nyingi zilionyesha khusika na utapeli
wa mamilion kwa njia ya huyu bwana sasa na hii ya leo hii mwananchi huyu bwana amekuwa akichangisha tpdc,tanesco miaka yake na kampuni nyingine kadhaa ..ssasa swali langu najiuliza huyu kikwete kawekewa nini na bado najiuliza
kuna uhusiano mkubwa kati ya hizi hela na huyu mh sio hivi hivi tunalalamikia lakini ukweli utakuja kufichuliwa
kila la kheri cag