Mwakani Canada bangi itahalalishwa:kuna hatari bangi inakuja kuwa halali Dunia nzima

mitale na midimu

JF-Expert Member
Aug 26, 2015
10,420
17,701
Canada inatarajia kuhalalisha matumizi ya bange kwa raia wenye umri zaidi ya miaka 18.

Polisi wametumia zaidi ya trillion 5 kupambana na uuzwaji haramu wa bangI bila mafanikio.

Sharia hii imelenga kuwalinda watoto dhidi ya bangi lkn wakati bangi ikawa haramu canada ndio nchi ya wazungu yenye watoto na vijana wengi walioathirika kwa uvutaji wa bangi.

Maoni
Tunakoelekea naiona bangi kuwa halali duniani. Vyombo vyetu vipambane kuziMa kbs mmea huu haramu ili wengine wakihalalisha sisi tukatae tukiwa na idadi ndogo ya wateja.
Pote duniani bado inakubalika kuwa bangi inamadhara kiakili ndio maana hata Canada wenyewe wanasema japo wanahalalisha lkn ukisababisha ajali kwa kuvuta bangi ni jela.

Source
The Canadian government just introduced legislation to legalize marijuana
 
Bangi inapigwa Vita kutokana na economic advantages iliyonayo compared to other pharmaceutical products na many other products. Bangi ina produce paper, kills cancer cells, produces oil, produces fiber, chemical free kulinganisha na sugars.

Let Canadians enjoy nature and TZ ipitishwe pia
 
Hakuna haja kusema kuna HATARI.. uhalali wa bangi hauna shida yoyote..

Pombe na Sigara ambazo zina madhara makubwa sana kiafya ni halali.. kwa nini bangi ambayo mpaka leo haijadhibitishwa kuwa ina madhara isiwe halali..

Pombe inasababisha ajali.. matatizo ya kiafya, ya kifamilia.. sigara ineleta kansa.. n.k

Je ni madhara gani huletwa na bangi??
 
Hizi kasumba hizi.nimeweka uzi wangu wa happy 4/20 wameudileti wakati sjataja hata neno bangi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom