Mwakalebela bado hujasoma nyakati

Mwakalebela bado hujasoma nyakati

nguluvisonzo

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
515
Reaction score
72
Kwa taarifa Mkwawa alikataa Iringa isitawaliwe na kabila nyingine zaidi ya Mhehe alijaribu Kitine ikashindikana fikiri kwanza.
 
udesi wa mwene
mkwawa mwenyewe hakua mhehe
 
Msigwa umeshaanza kumgwaya Mwakalebela acha ukabila,mbona LEMA ni mchaga lakini ni mbunge ARUSHA?
 
Kwa taarifa Mkwawa alikataa Iringa isitawaliwe na kabila nyingine zaidi ya Mhehe alijaribu Kitine ikashindikana fikiri kwanza.

Unamaanisha mkoa wa Iringa au jimbo la Iringa Mjini?

Je eneo alilotawala Chifu Mkwawa ni eneo lilipo jimbo la Iringa mjini ya sasa?

Au ni eneo ndani ya jimbo la Iringa mjini ya sasa?
 
Kwa taarifa Mkwawa alikataa Iringa isitawaliwe na kabila nyingine zaidi ya Mhehe alijaribu Kitine ikashindikana fikiri kwanza.

Mkwawa alitawala eneo lote la mkoa wa Iringa la sasa na maeneo ya mikoa mingine yanayozunguka Mkoa wa Iringa.Eneo la Mpwapwa,Kibaigwa,Kilosa,Mahenge,Ulanga hadi Njombe.
Watu kama akina Lusinde,Malekela na Simbachawene ni wahehe kabisa.
Lakini sikubaliani na mtoa mada kwa sababu hata Msigwa asili yake si mhehe.
 
Mkuu hoja ya ukabila ni zao la Lumumba b7 kwakufirisika na hoja...!!!!

Unaweza kutuambia hapa Msigwa ni kabila gani na anaongoza wapi?

BACK TANGANYIKA
 
JOSEPH MBILINYI a.k.a SUGU, jembe,Rais wa mbeya wapendavyo kumuita wenyewe ni mkinga kwa kabila akiwa na asili ya mkoa wa Iringa, lakini lililo kuu na mhimu ni mtanzania halisi mwenye akili timamu mwenye maono ya kuwatumikia watz wote bila kujali rangi kabila wala ukanda.UKABILA NI MAWAZO NA SILAHA YA WATU DHAIFU WASIOELIMIKA NA DINI YAO WAOVU.
 
JOSEPH MBILINYI a.k.a SUGU, jembe,Rais wa mbeya wapendavyo kumuita wenyewe ni mkinga kwa kabila akiwa na asili ya mkoa wa Iringa, lakini lililo kuu na mhimu ni mtanzania halisi mwenye akili timamu mwenye maono ya kuwatumikia watz wote bila kujali rangi kabila wala ukanda.UKABILA NI MAWAZO NA SILAHA YA WATU DHAIFU WASIOELIMIKA NA DINI YAO WAOVU.
 
Msigwa umeshaanza kumgwaya Mwakalebela acha ukabila,mbona LEMA ni mchaga lakini ni mbunge ARUSHA?

Kuchagua na kuchaguliwa ni haki ya mtu ya kikatiba ili mradi awe na sifa zinazohitajika. Kama Mwakalebela anadhani ana uwezo wa kushinda basi amwambie Rais achague mkuu mwingine wa wilaya na yeye aende huko kwenye ubunge ili mradi tu asije akajuta. Sioni jinsi yeyote ambapo leo hii mtu wa CCM anaweza kuwa na uhakika wa kuchaguliwa popote pale katika nchi hii. Waulizeni wenzenu wa huko Sumbawanga. Ngoja zoezi la kuandikisha liishe vijana wote waingie kwenye kinyang'anyiro kisha utanijuza
 
Mwakalebela anaona ukuu Wa wilaya aliyopewa na ccm haina hela ya maana,anatamani hela ya mjengoni,mccm kwa ulafi ni hatari,ameona kapelekwa kuwa mkuu Wa wilaya sehemu nyingine anaona kama kapotezwa na kikwete,kwa. Watanzania bao bado wanatamani kuchagua ccm tena,mnafaa kupulizwa sehemu ya makalio kama pako salama,majizi.
 
Mwakalebela ni mzuri, lakin hata mimi simshauri akagombee kwa msigwa atapotezwa!! Agombee jimbo lolote ndani ya mbeya!!
 
Haaa, labda aanzishe timu za mpira. Nje ya hapo ni mweupeeee kama unyoya wa kuku.
 
Back
Top Bottom