Mwakalebela bado hujasoma nyakati

Mwakalebela bado hujasoma nyakati

JOSEPH MBILINYI a.k.a SUGU, jembe,Rais wa mbeya wapendavyo kumuita wenyewe ni mkinga kwa kabila akiwa na asili ya mkoa wa Iringa, lakini lililo kuu na mhimu ni mtanzania halisi mwenye akili timamu mwenye maono ya kuwatumikia watz wote bila kujali rangi kabila wala ukanda.UKABILA NI MAWAZO NA SILAHA YA WATU DHAIFU WASIOELIMIKA NA DINI YAO WAOVU.

tukiacha ukabila , ni lipi alilowahi kulifanya Mwakalebela tangu azaliwe la kupigiwa mfano ?
 
Kwa taarifa Mkwawa alikataa Iringa isitawaliwe na kabila nyingine zaidi ya Mhehe alijaribu Kitine ikashindikana fikiri kwanza.
tukiacha hayo ya ukabila , nachukua nafasi hii kumuonya ndugu Mwakalebela kuachana kabisa na mpango huo , vinginevyo atapoteza hata hako kacheo ka kizushi kama ka Makonda alikokabahatisha .
 
ndugu zangu wa ccm msigwa katushika pabaya ,tumechelewa kujipanga na ubunge mda umeisha. labda kwenye udiwani tunaweza kupata kata chache sana.MSIGWA WANANCHI WANAMWELEWA SANAAA
 
JOSEPH MBILINYI a.k.a SUGU, jembe,Rais wa mbeya wapendavyo kumuita wenyewe ni mkinga kwa kabila akiwa na asili ya mkoa wa Iringa, lakini lililo kuu na mhimu ni mtanzania halisi mwenye akili timamu mwenye maono ya kuwatumikia watz wote bila kujali rangi kabila wala ukanda.UKABILA NI MAWAZO NA SILAHA YA WATU DHAIFU WASIOELIMIKA NA DINI YAO WAOVU.

hoja ni Iringa, labda Mbeya ksma Dar
 
Back
Top Bottom