Mwaka wa tabu tena?

Nasubiri atakaye comment ujinga wakati watu tuna machungu🥴View attachment 3473790
Poleni mno kuna mwenzenu huku mama muuza genge mwanzo wa gemu alikuwa na tabasamu kweli, gemu imeisha narudi gengeni nakutana na mtu kama kala pilipili nikajiroga kumpa pole mbona nilijuta amesema nifanye juu chini game zijazo marefa wawe wazungu 🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa sijui nimegeuka GSM au Engineer
 
Hahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…