Mwaka wa kwanza wa SUA tunateseka!

Joined
Oct 22, 2016
Posts
47
Reaction score
29
Mmetoa majina ya continuing students lakini first year hatuoni majina ya kusaini. Hela ya kujikimu boom hatuna na tulipata mkopo. Sasa hatuelewi, tunakufa njaaa huku!
 
Mkuu mie nimekuelewa, najua njaa na kupaniki ndiyo tatizo lako. Lakini mbona hata sisi continuing wengine majina bado.!
 
Hoja yake imeeleweka! Yaani wanafunzi wa mwaka wa kwanza pale SUA waliopangiwa mikopo mpaka sasa wengine hawajapewa boom japo umeshapita takriban mwezi mmoja na nusu tangu chuo kifunguli
 
Mmetoa majina ya continuing students lakini first year hatuoni majina ya kusaini. Hela ya kujikimu boom hatuna na tulipata mkopo. Sasa hatuelewi, tunakufa njaaa huku!
Hata mapadri wenyew na wema wao hawabehave kama wanafunzi wa SUA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…