Mmetoa majina ya continuing students lakini first year hatuoni majina ya kusaini. Hela ya kujikimu boom hatuna na tulipata mkopo. Sasa hatuelewi, tunakufa njaaa huku!
Hoja yake imeeleweka! Yaani wanafunzi wa mwaka wa kwanza pale SUA waliopangiwa mikopo mpaka sasa wengine hawajapewa boom japo umeshapita takriban mwezi mmoja na nusu tangu chuo kifunguli
Mmetoa majina ya continuing students lakini first year hatuoni majina ya kusaini. Hela ya kujikimu boom hatuna na tulipata mkopo. Sasa hatuelewi, tunakufa njaaa huku!