Mwaka 2020 unaisha, njooni tujadili fursa za kibiashara 2021

The Initiator huru

JF-Expert Member
Dec 4, 2017
1,568
1,782
Wakuu, kama kichwa cha habari kinavyo jieleza mwaka ndio huo umekatika njooni tupeane fursa za kibiashara kwa mwaka 2021. Ili tuweze kujipanga vyema.

Kwa mwaka 2021 afe kipa, afe beki lazima nianzishe kabiashara japo kadogo, nafikiria kufanya biashara kwenye masoko, nalenga kuanzisha banda la chakula na pia kuuza mifuko (woven bag) jumla na reja reja nitaanza na mtaji mdogo kabisa sitokubali kutegemea tena mshahara.

Wakuu njooni tupeane frursa na changamoto.
 
Anaetaka kufungua tawi kibiashara Dom eneo lipo wazi,.

Kwa wauza samaki mwanza tujuzane soko.

Wale wa biashara ya khanga na vitenge dar naomba mwongozo wa bei.
 
Anaetaka kufungua tawi kibiashara Dom eneo lipo wazi,.


Kwa wauza samaki mwanza tujuzane soko.

Wale wa biashara ya khanga na vitenge dar naomba mwongozo wa bei.
Hiyo ya form ni frem au nini? Hebu dadavua kidogo boss
 
Mbezi Luis stand pako maombi yako wazi kabisa wewe na hela yako kukodi fremu 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom