Uchaguzi mdogo wa marudio wa Siha na Kinondoni ni kielelezo tosha kuwa upinzani umepoteza dira na kupotea hapa Tanzania.
Hawakuwa na jipya katika kampeni na hawakuwa na jipya baada ya matokeo na bora sana wale ambao hawakushiriki maana hawajajulikana udhaifu wao na wameokoa rasilimali pesa.
Kwa tofauti ile ya kura sidhani kama kulikuwa na wizi wa kura kwa sasa tunaomba tuacheni tuendelee na kazi zetu siasa zimeisha juzi.
Ili kuweka amani sasa naomba wapinzani wote mjiandae na matokeo ya 2020 maana nahisi upinzani hautakuwa na mwakilishi bungeni.
Haki tena na kama kuna mtu anabisha aje na evidence hapa na ushawishi unaoeleweka.
Asante sana
Hawakuwa na jipya katika kampeni na hawakuwa na jipya baada ya matokeo na bora sana wale ambao hawakushiriki maana hawajajulikana udhaifu wao na wameokoa rasilimali pesa.
Kwa tofauti ile ya kura sidhani kama kulikuwa na wizi wa kura kwa sasa tunaomba tuacheni tuendelee na kazi zetu siasa zimeisha juzi.
Ili kuweka amani sasa naomba wapinzani wote mjiandae na matokeo ya 2020 maana nahisi upinzani hautakuwa na mwakilishi bungeni.
Haki tena na kama kuna mtu anabisha aje na evidence hapa na ushawishi unaoeleweka.
Asante sana