Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Nani kasema hatumtaki Rage agombee kwani kabla yake si alikuwepo Hayati Juma Kaboyonga ambapo Rage alishinda kura za maoni??
Ndugu yangu CCM ina utaratibu wake mnaweza mkachukua Fomu watu 100 lakini mshindi atakuwa ni mmoja tu kwenye Kura za maoni.
Dhaifu sana.