Matukuta Jr
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 207
- 27
Mwaka 2015 ndio Uchaguzi Mkuu wa Tanzania(Udiwani,Ubunge na Urais) Mimi naenda Tabora Mjini ambapo ndio kwetu kuwania Ubunge wa tiketi ya CCM.
Kura za Maoni ndani ya Chama ndio zitakazonipa ridhaa ya kuwa candidate.
Kura za Maoni ndani ya Chama ndio zitakazonipa ridhaa ya kuwa candidate.