Mwachie Mungu

Mwachie Mungu

Erickb52

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2010
Posts
18,554
Reaction score
11,485
Kuna watoto walikuwa wanacheza,mwenzao mmoja akaanza kulia,wakati analia mtumishi wa Mungu akawa anapita,mtumishi akamuuliza "mtoto mbona unalia?"
Mtoto akamjibu,"natafuta yeboyebo zangu sizioni kuna mtu kazichukua". Mtumishi akamwambia,"pole,nyamaza mwachie Mungu tu". Mtoto akamjibu,'Mungu hazimtoshi zilikuwa ndogo"
 
Ha kweli sentens ya mchungaji ilikuwa tata hapo
 
Back
Top Bottom