Kizimkazimkuu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2007
- 337
- 234
Ifuatayo ni sehemu ya makala iliyoandikwa na mwandishi maalum na kuchapishwa na gazeti la mwanahalisi la tarehe 8-14,Septemba 2010..nimechagua baadhi ya vipengele vilivyonigusa
''wapo tunawaowajua hata kwa majina ambao hawaaminiwi na wake zao kukaa karibu na mabinti zao wa kuwazaa!Tunawajua wanaotunza watoto wanaodai ni wa mitaani,lakini mama zao wa mitaani wanasema ''ni watoto wa hao wanaowatunza'.
Nina uhakika kabisa baadhi ya wa urais hawawezi kujibu maswali ya maisha binafsi aliyoulizwa Dk. Slaa:wathubutu tuone.
Kama masuala ya maadili binafsi na hali ya ndoa za wanasiasa wetu ndio yatakaayoamua kinyang'anyiro hiki basi tujiandae kwa makubwa.Hii ni kwasababu baadhi ya wanasiasa,wanaishi maisha ya shaka kuhusu afya zao na afya za ndoa zao.Wengi wanaishi kwa matumaini na ni suala la muda tu kusubiri tutangaziwe msiba wa kitaifa (Mola apishe mbali)
Hakuna linalofichika chini ya mbingu,na hata hatua chafu ya kuwatoa roho baadhi ya wasichana ili kufichwa yasiyofichwa yanajulikana na baadhi ya wasichana wameonana na wanasheria kuandikisha maelezo ili likitokea la kutokea wauaji hao wajulikane
Ninawashauri wana CCM wenzagu,mwili wangu uko CCM lakini roho haiko huko,wajikite katika kujibu hoha za dr. Slaa,na kuachana na mambo ya ndani ya suruali na sketi za watu. Maana tulio na taarifa za kina kuhusu maisha binafsiya vigogo wa CCM tutalazimika kuingia hadharani endapo gazeti la serikali na yale yanayomilikiwa na watuhumiwa wakuu wa ufisadi yataendelea kutuchelewesha kwa kujadili masuala binafsi badala ya masuala ya maendeleo.
soma mara mbili kwenye maandishi ya rangi nyekundu
''wapo tunawaowajua hata kwa majina ambao hawaaminiwi na wake zao kukaa karibu na mabinti zao wa kuwazaa!Tunawajua wanaotunza watoto wanaodai ni wa mitaani,lakini mama zao wa mitaani wanasema ''ni watoto wa hao wanaowatunza'.
Nina uhakika kabisa baadhi ya wa urais hawawezi kujibu maswali ya maisha binafsi aliyoulizwa Dk. Slaa:wathubutu tuone.
Kama masuala ya maadili binafsi na hali ya ndoa za wanasiasa wetu ndio yatakaayoamua kinyang'anyiro hiki basi tujiandae kwa makubwa.Hii ni kwasababu baadhi ya wanasiasa,wanaishi maisha ya shaka kuhusu afya zao na afya za ndoa zao.Wengi wanaishi kwa matumaini na ni suala la muda tu kusubiri tutangaziwe msiba wa kitaifa (Mola apishe mbali)
Hakuna linalofichika chini ya mbingu,na hata hatua chafu ya kuwatoa roho baadhi ya wasichana ili kufichwa yasiyofichwa yanajulikana na baadhi ya wasichana wameonana na wanasheria kuandikisha maelezo ili likitokea la kutokea wauaji hao wajulikane
Ninawashauri wana CCM wenzagu,mwili wangu uko CCM lakini roho haiko huko,wajikite katika kujibu hoha za dr. Slaa,na kuachana na mambo ya ndani ya suruali na sketi za watu. Maana tulio na taarifa za kina kuhusu maisha binafsiya vigogo wa CCM tutalazimika kuingia hadharani endapo gazeti la serikali na yale yanayomilikiwa na watuhumiwa wakuu wa ufisadi yataendelea kutuchelewesha kwa kujadili masuala binafsi badala ya masuala ya maendeleo.
soma mara mbili kwenye maandishi ya rangi nyekundu