Mvungi mahututi Jo’burg

Mvungi mahututi Jo’burg

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Hali ya afya ya Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk Sengondo Mvungi aliyelazwa katika Hospitali ya Millpark nchini Afrika Kusini inaelezwa kuwa ni mahututi.

Mbunge wa Kuteuliwa, James Mbatia akizungumza jana bungeni mjini Dodoma wakati akichangia Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Katiba alisema, kutokana na hali ya mjumbe huyo kuwa mbaya, aliwaomba Watanzania kuendelea na sala kwa ajili yake.

Mbatia alisema, “Kwa kuwa tunazungumzia suala la katiba huku mmoja wa wajumbe wake Dk Mvungi ni mgonjwa, tunahitaji kufanya mchakato huu kwa kuweka mbele masilahi ya taifa.

“Hali yake Dk Mvungi bado ni mbaya sana huko katika hospitali ya Millpark na anahitaji kuombewa, hivyo Watanzania wote tumwombee,” alisema Mbatia ambaye pia ni Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi.
 
I wish ingekuwa report ya daktari. ....
I wish angeuliza pia upelezi umefikia wapi wa tukio ...
I wish pia angesema kupelekwa huko ni sababu hapa hatuja weka kipaumbele sekta ya afya miongoni mwa...
I wish asingetumia hali ya mgonjwa kuongelea uzalendo na umuhimu wa katiba bora...
I wish angehoji kwa nini ujambazi haukomi...

.....i wish all these wishes could turn into reality....
 
waliomvamia dr mvungi wakamatwa na gongo lita 15,,,,,,hivi hawa ni majambazi au wanywa gongo???,,,,,hii INCHI INATAMTHILIA NYINGI SANA...
 
Ukiona majibu yana walakini, basi jua kuna jambo nyuma yake

waliomvamia dr mvungi wakamatwa na gongo lita 15,,,,,,hivi hawa ni majambazi au wanywa gongo???,,,,,hii INCHI INATAMTHILIA NYINGI SANA...
 
Gongo na laptop yenye data za katiba wapi na wapi. Ukiangalia hasira za wabunge wa ccm bungeni utajua tu hata hao wajumbe wengine wako hatarini sana.
 
Gongo na laptop yenye data za katiba wapi na wapi. Ukiangalia hasira za wabunge wa ccm bungeni utajua tu hata hao wajumbe wengine wako hatarini sana.

Na kwa jinsi Mwigulu anavyoshindwa kuficha hasira zake juu ya mapendekezo yaliyoletwa na tume kuhusu katiba mpya, nawashauri Wajumbe watafute walinzi binafsi na silaha kali za kivita maana jamaa hatujui limeingiza mabomu mangapi toka China!
 
waliomvamia dr mvungi wakamatwa na gongo lita 15,,,,,,hivi hawa ni majambazi au wanywa gongo???,,,,,hii INCHI INATAMTHILIA NYINGI SANA...

Wana unga unga ushahidi
 
Naomba hili swala lisigeuzwe la kisiasa.
 
Na kwa jinsi Mwigulu anavyoshindwa kuficha hasira zake juu ya mapendekezo yaliyoletwa na tume kuhusu katiba mpya, nawashauri Wajumbe watafute walinzi binafsi na silaha kali za kivita maana jamaa hatujui limeingiza mabomu mangapi toka China!
Mwigulu tena?
 
Naomba hili swala lisigeuzwe la kisiasa.

Siasa ni maisha,katiba ni muongozo wa maisha!!!!!!!
A line is too thin unless the responsible authorities disentagle them!!!!!!
It needs professionalism not a mere wisdom or pleed!!!
 
waliomvamia dr mvungi wakamatwa na gongo lita 15,,,,,,hivi hawa ni majambazi au wanywa gongo???,,,,,hii INCHI INATAMTHILIA NYINGI SANA...
Walikamatwa pia na kofia yenye nembo ya chama kimoja maarufu kwa fujo na vurugu za kila aina.
 
Na kwa jinsi Mwigulu anavyoshindwa kuficha hasira zake juu ya mapendekezo yaliyoletwa na tume kuhusu katiba mpya, nawashauri Wajumbe watafute walinzi binafsi na silaha kali za kivita maana jamaa hatujui limeingiza mabomu mangapi toka China!

Na ile kofia yenye nembo ya "mwigulu" walikutwa nayo hawa majambazi inanitia shaka sana!
 
Hiki kilichotokea kwa Dr. Mvungi inawezekana kabisa hawa wapinga Serikali Tatu wakawa wamefanya hivi ili kutoa vitisho kwa wajumbe wa tume hii kwani wametumia maneno hayakutosha sasa wameamua vitendo, na mtu muhimu wa kuwa connected na hili ni KOVA kwani katika matukio yenye utata kama haya huwa anakuja na viushahidi vya kijingajinga mfano kwa tukio la Dr. Ulimboka na Kibanda
 
Back
Top Bottom