Hahaaaaaaaaa akubali yaishe tu,kukosea kupo!!! chezea TB Lusekelo
Hamnaga TMA vyombo vyote feki hamnaga k.i.t.u!
Mbwembwe tupu!
Bado mama Kijazi anasema zile mvua hatari sana za El nino bado ziko pale pale na hataki utabiri wake udharauliwe. Amesema kanda ya ziwa zimeanza na Dsm kaa standby.
Hamnaga TMA vyombo vyote feki hamnaga k.i.t.u!
Mbwembwe tupu!
TB nabii na mtume Anton Lusekeo a.k.a mzee wa upako anaweza zuia mvua.
Mpango wa Lowassa kuleta mvua kutoka Thailand vp??
Bado mama Kijazi anasema zile mvua hatari sana za El nino bado ziko pale pale na hataki utabiri wake udharauliwe. Amesema kanda ya ziwa zimeanza na Dsm kaa standby.
king kong umenichekesha kweli! Eti TB Lusekelo!? Kwa hiyon tuna TB Gwajima, TB Mwingira, TB Kakobe au siyo?