Mvua kubwa Dar es Salaam

lukindo

JF-Expert Member
Mar 20, 2010
8,466
9,028
Heshima mbele wakuu.

Katika pita pita zangu huku nimekutana na taarifa ambazo zinaonyesha uwezekano wa mvua kubwa kunyesha Dar es Salaam na maaneo ya karibu.
Nimefuatilia habari kwa karibu lakini sijaona tangazo lolote au onyo kutoka Mamlaka yetu ya hali ya hewa.
Ni vizuri tukachukua taadhari mapema ili ikitokea isije kuwa kama December iliyopita.

Zaidi angalia hii link: BBC Weather : Dar es Salaam
 
Mh wao Mungu, anaejua mvua kama kubwa au ndogo ni Mungu Muumba ale juu, wala sio wao !
 
Mh wao Mungu, anaejua mvua kama kubwa au ndogo ni Mungu Muumba ale juu, wala sio wao !
mkuu, hizi taarifa sio lazima zije kama zilivyotangazwa lakini mara nyingi huwa zinatokea karibia kwa 70-80%.
Au unaleta habari ya kuwa "mimi sio Mungu kuleta mvua"!?

 
Uongo huooo!
mkuu Papason naona unataka kuwa kama ndugu zetu wa Jangwani ambao wametumia zaidi ya miaka 20 waking'ana kuishi Jangwani mpaka mauti yalipowafika.

Au ulisubiri Bw. Maxence Mero akitangaza hapa jamvini ndio ukubali?

Angalia hizi taadhari za watu wa hali ya hewa zimekuja siku ya tatu tangia huu uzi uletwe hapa!
UntitledB1.jpg UntitledB.jpg
 
mkuu Papason naona unataka kuwa kama ndugu zetu wa Jangwani ambao wametumia zaidi ya miaka 20 waking'ana kuishi Jangwani mpaka mauti yalipowafika.

Au ulisubiri Bw. Maxence Mero akitangaza hapa jamvini ndio ukubali?

Angalia hizi taadhari za watu wa hali ya hewa zimekuja siku ya tatu tangia huu uzi uletwe hapa!
View attachment 53051View attachment 53053

Hawa TMA was*****e sana yahani wakiona mvua imeanza kunyesha ndo wanatoa utabiri ikiacha na wenyewe kimyaaaaaa. Inamaana hao kazi yao ni kutabiri mvua tu? Du kweli kazi ipo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom