Mvua kuanza kunyesha kwenye baadhi ya maeneo nchini ni msimu wake na sio miujiza ya mtu yeyote

Nyankuru Wankuru

JF-Expert Member
Apr 22, 2018
1,199
1,346
Hata wawe wametabiri mamlaka au kikundi cha watu kuwa mvua itanyesha huo ni ubatili.

Miaka nenda rudi sote tunafahamu misimu ya mvua na kiangazi.

Na kwa sasa nchini maeneo mengi mvua zinaendelea kunyesha kwa kuwa ndio msimu.

Na majira haya ya mwaka pamoja na misimu hii ni Mungu pekee ndiye anapaswa kupongezwa kwa kuiweka hapa duniani.

So asijitokeze binadamu yeyote kujisifu kwa kutabiri na kuomba eti kaleta mvua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapagani kumbe bado mpo

Wapeni tu credit zao basi wameomba Mungu na Mungu kawasikia maombi yao

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Hata wawe wametabiri mamlaka au kikundi cha watu kuwa mvua itanyesha huo ni ubatili.

Miaka nenda rudi sote tunafahamu misimu ya mvua na kiangazi.

Na kwa sasa nchini maeneo mengi mvua zinaendelea kunyesha kwa kuwa ndio msimu.

Na majira haya ya mwaka pamoja na misimu hii ni Mungu pekee ndiye anapaswa kupongezwa kwa kuiweka hapa duniani.

So asijitokeze binadamu yeyote kujisifu kwa kutabiri na kuomba eti kaleta mvua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana peke yangu, lakini sijui ni kwa nini:D:D:D:D:D:D
 
Back
Top Bottom