aikaruwa1983
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,398
- 1,500
Wadau niko pande za Tabata kuna mvua inanyesha sasa hivi si ya kawaida.
Vip wadau wa Dar hii kitu ni mji mzima au, usingizi wote umekata na nishaanza kusikia harufu ya maji machafu hatari!
Vip wadau wa Dar hii kitu ni mji mzima au, usingizi wote umekata na nishaanza kusikia harufu ya maji machafu hatari!